Harmonize sio poa kutafuta Kiki kupitia kifo Cha Mhe Magufuli

Hziyech22

JF-Expert Member
Jun 8, 2019
13,559
18,881
Huyu kijana sasa hiv naona ameanza kuvuka mipaka ya Kiki sio mbaya kufanya Kiki lakini fanya Kiki za maana kwa namna moja au nyingine zitakazoweza kusaidia kupush kazi zako lakini hii ya kujirecord unalimlilia marehemu Magufuli alafu unapost kwenye account yako ya social media unawakosea heshima watanzania unaleta mambo ya bongo movie kwenye msiba mzito wa Taifa.Mtu gani mwenye uchungu anapata wasaa wakujirecodi na kutuma kwenye social media ebu badilika kijana.
 
Angetunga wimbo mzuri wenye vina na mistari iliyonyooka Kwani hawakuna Komba alivyomtungia Nyerere?? Sasa Kujiliza kwenye social Media sio sawa hasa kwa wanaume.Unatia Aibu ila kwa wanaume wa Dar hiyo ni kiki.
 
Angetunga wimbo mzuri wenye vina na mistari iliyonyooka Kwani hawakuna Komba alivyomtungia Nyerere?? Sasa Kujiliza kwenye social Media sio sawa hasa kwa wanaume.Unatia Aibu ila kwa wanaume wa Dar hiyo ni kiki.
Mbona nyimbo kashatunga na imeachiwa leo mida ya sa4 asubuh
 
Huyu kijana sasa hiv naona ameanza kuvuka mipaka ya Kiki sio mbaya kufanya Kiki lakini fanya Kiki za maana kwa namna moja au nyingine zitakazoweza kusaidia kupush kazi zako lakini hii ya kujirecord unalimlilia marehemu Magufuli alafu unapost kwenye account yako ya social media unawakosea heshima watanzania unaleta mambo ya bongo movie kwenye msiba mzito wa Taifa.Mtu gani mwenye uchungu anapata wasaa wakujirecodi na kutuma kwenye social media ebu badilika kijana.
Ni Mambo mawili tu binadamu hawezi kuyaficha
Mimba
Ushamba........
 
Back
Top Bottom