- Thread starter
- #61
Hiyo kwenye avatar ni picture yako?Kwakweli kesho tutaona mengi ππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈ
Hiyo kwenye avatar ni picture yako?Kwakweli kesho tutaona mengi ππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈ
Huyo siku ya kuaga mwili wa Rais kabla kuzimia atampa bodygurd wake simu na cheni zake amshikie halafu anazimia.
Acha kutamani wake wa watu.Hiyo kwenye avatar ni picture yako?
Kwani kuuliza Hilo swali ndio kumtamani?Acha kutamani wake wa watu.
Huyu kijana sasa hiv naona ameanza kuvuka mipaka ya Kiki sio mbaya kufanya Kiki lakini fanya Kiki za maana kwa namna moja au nyingine zitakazoweza kusaidia kupush kazi zako lakini hii ya kujirecord unalimlilia marehemu Magufuli alafu unapost kwenye account yako ya social media unawakosea heshima watanzania unaleta mambo ya bongo movie kwenye msiba mzito wa Taifa.Mtu gani mwenye uchungu anapata wasaa wakujirecodi na kutuma kwenye social media ebu badilika kijana.
Kwanini?You sound like timu mondi dizaini ok
Khaaa!Ni Mambo mawili tu binadamu hawezi kuyaficha
Mimba
Ushamba........