fatherhood
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 530
- 551
Habar wana JF
Mimi cha kwanza kabisa sina team kwenye mziki wetu kibongo bongo ila napenda mziki mzuri. Nimeutafakari mziki anaofanya Rajabu kahali maarufu kama Harmonize nikagundua kwa sasa anategemea sana bifu la na Diamond platnumz kuliko ubora wa mziki wake. Hii ina maana kwamba Harmonize bila kushindanishwa na Diamond Platnumz hata kwa wiki mbili tu hii itapelekea kupokea kwake , na ndio maana mara nyingi Harmonize huwa anapita mule mule ambapo Diamond Platnumz anapita ili tu ashindanishwe nae.
Wana jf itakumbukwa kuwa Diamond Platnumz na Alikiba ni wahasimu wakubwa kwa miaka kazaa jambo ambalo kwa kiasi kikubwa inawafaidisha wote kuwa kwenye game kwa muda mrefu.
Sasa kuwepo kwa Harmonize kama mhasimu mwengine kwa Diamond Platnumz kulipelekea sitofahamu juu ya hasimu halali wa Diamond platnumz kwa sasa , kwa hiyo kuendelea bifu la Diamond Platnumz na Alikiba lina adhari kubwa kwenye mziki wa harmonize.
Mfano mzuri wana JF wiki kama mbili baada ya Alikiba kutoa back to back ya ndombolo na salute , ilipelekea upepo wa harmonize kupotea just imagine kama Alikiba atakuwa anatoa back to back siku zote.
Hii itepekea watu kuwashindanisha Alikiba na Diamond Platnumz hivyo kupelekea Harmonize kusaulika hivyo basi Harmonize anategemea kwa kiasi kikubwa kushuka kwa Alikiba ili asikike
Napenda kumfananisha Harmonize kama Azam FC kwenye upande wa michezo kwa AZAM Fc kwa kiasi kikubwa hutegemea kuaribikiwa kwa Yanga au Simba
Mimi cha kwanza kabisa sina team kwenye mziki wetu kibongo bongo ila napenda mziki mzuri. Nimeutafakari mziki anaofanya Rajabu kahali maarufu kama Harmonize nikagundua kwa sasa anategemea sana bifu la na Diamond platnumz kuliko ubora wa mziki wake. Hii ina maana kwamba Harmonize bila kushindanishwa na Diamond Platnumz hata kwa wiki mbili tu hii itapelekea kupokea kwake , na ndio maana mara nyingi Harmonize huwa anapita mule mule ambapo Diamond Platnumz anapita ili tu ashindanishwe nae.
Wana jf itakumbukwa kuwa Diamond Platnumz na Alikiba ni wahasimu wakubwa kwa miaka kazaa jambo ambalo kwa kiasi kikubwa inawafaidisha wote kuwa kwenye game kwa muda mrefu.
Sasa kuwepo kwa Harmonize kama mhasimu mwengine kwa Diamond Platnumz kulipelekea sitofahamu juu ya hasimu halali wa Diamond platnumz kwa sasa , kwa hiyo kuendelea bifu la Diamond Platnumz na Alikiba lina adhari kubwa kwenye mziki wa harmonize.
Mfano mzuri wana JF wiki kama mbili baada ya Alikiba kutoa back to back ya ndombolo na salute , ilipelekea upepo wa harmonize kupotea just imagine kama Alikiba atakuwa anatoa back to back siku zote.
Hii itepekea watu kuwashindanisha Alikiba na Diamond Platnumz hivyo kupelekea Harmonize kusaulika hivyo basi Harmonize anategemea kwa kiasi kikubwa kushuka kwa Alikiba ili asikike
Napenda kumfananisha Harmonize kama Azam FC kwenye upande wa michezo kwa AZAM Fc kwa kiasi kikubwa hutegemea kuaribikiwa kwa Yanga au Simba