Harmonize: Safari yake kwenda International nje ya WCB inavyowatesa Wasafi

Mnapambana Sana kumpoteza harmonize but nawahakikishia haitowezekana sababu njia zote za kufanikiwa kimuziki harmonize anazijua. Kibaya zaidi watanzania nao wanashangilia wakati tunatakiwa kuwa na international artist wengi
Hata tekashi69 ni international artist, kila la kheri kwa mmakonde, anachofeli ni kuwaaminisha mashabiki zake kuwa kunawatu wanapambana wamshushe nanyi mnamuamin, ikiwa media zoote zpo nae isipokuwa Wasafi tu (ikiwa kipindi tofauti na alichopitia Boss wake wa zaman ktk kutafuta upenyo kufika hapo alipo)
Je n vp hao watu wanapambana kumshusha ikiwa mashabiki zake mtaamua kumsaport...?
 
..
Screenshot_20210416-160325_Instagram.jpg
 
Labda tuelekeze, wasafi inafanya nn ili kuwabana kondegang wasifanikiwe...?
Wakati Kajala anatrend na konde nini mantiki ya rayvanny kupost anamla mate Paula??? Je wakati harmonize katangaza kutoa wimbo wa Kama nn maana ya vannyboy kuja na insue ya chatting za harmonize na Paula. Lazima uelewe kuwa harmonize anawajua wasafi kuliko Mimi na WEWE
 
Hivi uliwahi kujiuliza damage aliyoifanya rayvanny kupost anamla mate Paula someday anaona mamake anatrend na konde insta. Alitaka kutuma ujumbe upi kwa Kajala. Kwamba unaliwa na harmo mm nakula mwanao. You are one sided.....but ukweli usiopingika ni kuwa vannyboy alionyesha dharau kwa Kajala na harmonize Ile siku
Kwa hiyo kumla mate paula ndio ikawa kosa kwako wewe hamo,mpaka ukapambana van afungwe miaka kibao. Au kosa ni yeye kajala kuliwa na wewe hamo na van kula mtoto?. Je na hayo uliyoyafanya kumtaka mtoto ilihali umekula mama si dharau hiyo kwa familia ya huyo mama?
 
Wakati Kajala anatrend na konde nini mantiki ya rayvanny kupost anamla mate Paula??? Je wakati harmonize katangaza kutoa wimbo wa Kama nn maana ya vannyboy kuja na insue ya chatting za harmonize na Paula. Lazima uelewe kuwa harmonize anawajua wasafi kuliko Mimi na WEWE
Swala la mahusiano ya paula na rayvany yanaathari gan katika mziki wa harmonize,na unachotaka kuniambia harmonize alitumia mahusiano hayo kama kiki ndo maana mnaina kama rayvanny aliaribu kiki yenu,
Pia kumbuka trend ya chating za harmonize zilianza kabla yy kutangaza kuachia wimbo, kipindi chote trend ilikuwa ni kuvunjika kwa mahusiano ya harmonize na kajala na ndicho kilichopelekea hadi hzo charting kuvuja.
 
Wakati Kajala anatrend na konde nini mantiki ya rayvanny kupost anamla mate Paula??? Je wakati harmonize katangaza kutoa wimbo wa Kama nn maana ya vannyboy kuja na insue ya chatting za harmonize na Paula. Lazima uelewe kuwa harmonize anawajua wasafi kuliko Mimi na WEWE
Kumbe mzee baba mnaishi kwa kiki
 
Habari za hasubuhi wanajamii. It's very clear kwamba kwasasa Vita ya muziki Kati ya wasafi na kondegang imepamba Moto. Ukifatlia kwa umakini utagundua wasafi wanapambana kadri wawezavyo kumsusha Kondeboy of which haitowezekana sababu njia zote za kufanikiwa kimuziki Harmonize anazijua. Anaijua wasafi nje ndani. Anajua kila kitu Chao.

Harmonize alichofanya Cha Kwanza ni kutengeneza ukuta Kati yake na wasafi of which kafanikiwa. Kwa Sasa ni ukweli usiopingika kwamba fanbase wa Harmonize hawafungamani na wasafi. He has real fanbase japo bado si wengi Kama wale wa wasafi . Alifanya hivi kwa kurudisha majeshi Kwanza bongo. Akaachana na collaboration na wanigeria Kwanza.

Kwa sasa akitoa nyimbo ana uhakika wa kutrend Tanzania wasafi watake wasitake. Projects ya AFROEAST ni project alifanya Wasafi kwahyo #HIGHSCHOOL ALBUM ndo itakayoonyesha uelekeo wake.

Kumbuka mwaka uliopita CORONA ilitibua mipango yake. Ikabidi atoe nyimbo za kishkaji ili kubuy time. Ikabidi atoe nyimbo za mipasho ili kutengeneza spotlight ya kuongelewa.

I think watu wasichokijua ni kuwa kila collaboration ambayo diamond anaweza fanya africa kwa Sasa harmonize anauwezo nao. Mtamtambua akitoa highschool album.

After hiyo project anaanza Sasa collaboration na international artists ili kupanua wigo wa kondegang. Inshort harmonize anafanya kitu sahihi kabisa kulingana na soko la muziki la bongo lazima uwe masikioni muda wote kwa watanzania ndo utapaa.

Pia mkumbuke kondegang haina hata mwaka na nusu toka ianze lakini mpaka Sasa ni competitive. Wasafi Ina miaka kumi.
Acha kulialiaa kama mwanamke wewe, H baba alikuwa anasema sana mbovu kuhusu Diamond, na inafahamika H baba ni team Konde adi IPhone kanunuliwa, sasa watu wakijibu mashambulizi kuna ubaya gani? Tulieni hii ni piga nikupige , hakuna kushushwa wala kupandishwa, alikesha kituoni ili mwenzake afungwe, Kumbe na yeye anamtaka mwanae ahahahahha, tamaa imemponza wacha aisome namba
 
Kumbe mzee baba mnaishi kwa kiki
Ndio nashangaa ata wale team konde kama Mwijaku kila siku anasema hapendi kiki, lakini kiki anazofanya harmonize anazipenda sanaaaaaaa, hii ni ile kunya anye kuku lakini akinya Bata anaharisha
 
Wakati Kajala anatrend na konde nini mantiki ya rayvanny kupost anamla mate Paula??? Je wakati harmonize katangaza kutoa wimbo wa Kama nn maana ya vannyboy kuja na insue ya chatting za harmonize na Paula. Lazima uelewe kuwa harmonize anawajua wasafi kuliko Mimi na WEWE
Vannboy anampelekea Moto vibaya Sana mmakonde 😂 , konde alifikr yeye ni level moja na Diamond , kumbe Vannboy Tu anamtoa jasho , na mda si mrefu konde boy atakuwa out of action 🤪 issue ya Paula na Vannyboy iliburst kuliko hata penzi lake na Kajala ndo kilichomuuma jamaa,...
 
Mnapambana Sana kumpoteza harmonize but nawahakikishia haitowezekana sababu njia zote za kufanikiwa kimuziki harmonize anazijua. Kibaya zaidi watanzania nao wanashangilia wakati tunatakiwa kuwa na international artist wengi
hana kipaji ndio maana
 
Mwambie boss waku aache kuvuta bangi na kula unga kwanza afu ndio akutume uje kumtaftia umaarufu huku, huyo unaesema anaenda international ana kipi cha ajabu? wenzake wanapiga show nje kila uchwao yeye ni lini kapiga show hata ndan tu ya nchi.

Achen kuitafta huruma ya raia kwa ujinga wenu wenyewe. Harmo n kiazi kama walivo vizi vingne
Bora yeye hapaki make up na kuvaa vikukuu...na kubeba pochi ..na kuzungukwa na mashoga😁😁😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom