aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,630
- 3,578
Roho ya mtoto wa nje imemtawala11. Diamond anataka awe mwanamuziki yeye yu TZ
12.Diamond hawezi ushindani
Roho ya mtoto wa nje imemtawala11. Diamond anataka awe mwanamuziki yeye yu TZ
12.Diamond hawezi ushindani
Hukusikiliza ama unataka ufafanuliweKwahyo mzee magu aliingilia kat mambo Yao
Juma lokole so na wewe umeanza kuandika mistari ama umeiba humo ofisini kwenuBasi sema unakuja saa ngapi ama kwenu umeshakatazwa
Said kichwa nitamueka wapi na mkongo nimeshampakaza
Iyo mitungi ndo usiseme utakunywa utasaza
Kama pesa ndo zipo nyingi kuzigawa nimeshaanza
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hukusikiliza ama unataka ufafanuliwe
Nimeishia nyimbo hyo moja.kumbe umesikiliza!!!
tatizo wengine mna gundu.
ni heshima unapomwona yupo verified halafu mweupe kichwanihuwa naboreka sana kujibu verified users sijui kwann
#mnakauupuuziflan
yaani serikali ipoteze muda kuingilia ugomvi ya vimburukutu vilivyolewa umaarufu vinavyopiga picha za ngono na kutambishana wanawake? hao ni watu wa umuhimu gani kwa nchi hata kusumbua serikali kuwafikiria?Naomba kuweka wazi kabisa kwamba mimi si mpenzi wa Muziki wa Tanzania na wala siwapendi wanamuziki wa Tanzania , hii ni kwa vile wamekuwa mara zote wakitumika na ccm kuwapotosha wananchi , na hasa hawa wanaoitwa Wanamuziki wa kizazi kipya , ambao pia wanatuhumiwa kusafirisha na kusambaza madawa ya kulevya hivyo kuharibu nguvu kazi ya Taifa.
Bali nimesononeshwa sana na yaliyojitokeza kwenye mgogoro wa Harmonize na Diamond , pale huyo Harmonize alipokuwa anaomba kujitoa kwenye lebo ya WASAFI , mengi sana ameongea mwenyewe kila mtu kayasikia wala sina haja ya kuyarudia , bali nitagusia kidogo maeneo mawili tu.
Kwamba Diamond alimwambia Harmonize kwamba anaweza asimkamilishie kile anachotaka na wala hatomfanya chochote na kokote atakakoenda hatofanikiwa , kwa vile HAMUWEZI KISERIKALI , KIFEDHA NA KIUCHAWI , hii ni kauli ya kijinga sana kutolewa na anayeitwa msanii mkubwa , ni kauli ya kishamba sana iliyojaa Utanzania mtupu!
Jambo lingine linalotia aibu ni kitendo cha Harmonize Kuomba msaada kwa Magufuli moja kwa moja baada ya ngazi za chini ikiwemo wizara kumgwaya Diamond , Yaani Rais wa nchi ampigie simu Msela Diamond na kumbembeleza ili akubali kuterminate mkataba wa Harmonize na Wasafi ! hili ni jambo la kutia aibu sana , Yaani inawezekanaje Wizara na BASATA kutiwa mfukoni na msanii mmoja?
Haya mambo yakiachwa iko siku yatakuja kufedhesha mamlaka ya Rais , na sisi kama wananchi hatutakubali.
Serikali ina Taasisi zake kama BASATA zimeundwa kwa ajili ya wasanii ndo maana unaona wengine wanafungiwa nyimbo,kwahiyo wewe ndo unaonyesha ukilazaserikali iache kudili na masuala ya maana ianze kuhangaika na wasanii we jamaa kumbe wakat mwengine una tumia Masabuli kufikiria
ushawahi sikia serikali ya Us kuingilia ugomvi wa eastcoast na west coast?
Baada ya Moderator wa Jf kuedit heading wengi hawajaelewa tuliandika nini , na hasa kwa vile wengi hamsomi contentsijawahi kukushuhudia ukiandika ujinga kupindukia Kama huu ....angalia mkuu uwe makini
Sasa Mbona Rais wa hiyo serikali aliingilia ?yaani serikali ipoteze muda kuingilia ugomvi ya vimburukutu vilivyolewa umaarufu vinavyopiga picha za ngono na kutambishana wanawake? hao ni watu wa umuhimu gani kwa nchi hata kusumbua serikali kuwafikiria?
Kunatime mtu anakukela mpaka unatoa maneno ambayo hayakustahili, jua sio bure mtu aanze tu kukuambia hayo yote, yaweza kuwa harmo kunakauli aliitoa mpaka akajibiwa hvyoKiukweli nimesikitishwa sana maneno kama hayo kutolewa na msanii ambaye ni public figure, na kwa mujibu wa harmonize anadai kua hayo maneno yali rekodiwa na mpaka saizi anayo
Ukiona anahusishwa basi ujue anahusika kweliMkuu hii habar nAisikia juu kwa juu na zaid naon sikuhiz kila kubwa au dogo (habari nyeuc) anauhusishwa mzee baba.
😁😁😁😁😁😁😁Uniroge
Achana na tasnia wewe unaumuhimu gani kwenye hii duniaaka2030:
Hao uliowataja wana umuhimu gani kwenye hii tasnia ?
Wamelishwa unga wa ndweleUtafiti unaonyesha hakuna watu wagumu kuelewa kama mashabiki wa diamond
Achana na tasnia wewe unaumuhimu gani kwenye hii dunia