Harmonize ni star anayekimbiza sanaa kwa sasa

Harmonize kweli anakimbiza sanaaa hasa ukitembea kumbi nyingi za Starehe ngoma zake ndo zina bamba sanaaa.

Hata Kajalee naona kama anamuwaza dogo sana hasa na Post zake kule Inst.Na hisi kwa jinsi anavyo kubalika.

Anangoma zikigongaa hatarii na jamaa hana shobo japo watz wengi wanaaminishwa bila WCB basi haujui...mziki

Kweli Diamond amesaulika sana kwa kweli.

Bila kuleta timu Mondi ama Tim Harmo.

Harmo kwasasa Nyota nzuriii.

Dogo ako sana
 
Harmonize kweli anakimbiza sanaaa hasa ukitembea kumbi nyingi za Starehe ngoma zake ndo zina bamba sanaaa.

Hata Kajalee naona kama anamuwaza dogo sana hasa na Post zake kule Inst.Na hisi kwa jinsi anavyo kubalika.

Anangoma zikigongaa hatarii na jamaa hana shobo japo watz wengi wanaaminishwa bila WCB basi haujui...mziki

Kweli Diamond amesaulika sana kwa kweli.

Bila kuleta timu Mondi ama Tim Harmo.

Harmo kwasasa Nyota nzuriii.

Nakubaliana na mtoa post 100%
 
Back
Top Bottom