Ushamba ni mzigoKitu kimoja kuhusu pesa nyingi: Hufunua undani wa mtu katika uhalisia wake....!!! Hata wewe ukizipata leo tutakujua tuu.. Waswahel wanasema pata pesa tujue tabia yako....
Ushamba ni mzigoKitu kimoja kuhusu pesa nyingi: Hufunua undani wa mtu katika uhalisia wake....!!! Hata wewe ukizipata leo tutakujua tuu.. Waswahel wanasema pata pesa tujue tabia yako....
Ngoja tuwatoe tongotongo tuwaelimishe tu taratibu kwa hekima
Hao ukitumia busara hamtoelewana, afu wasanii wao wako overrated bila sababu na tatizo shule kama ulivosema sasa wamekosa vyote wamekosa elimu ya darasani na elimu ya mtaa, wenzao scandle kama hizo hata hawazizungumzii wanajikita kwenye kazi
Wauane tuKitu kimoja kuhusu pesa nyingi: Hufunua undani wa mtu katika uhalisia wake....!!! Hata wewe ukizipata leo tutakujua tuu.. Waswahel wanasema pata pesa tujue tabia yako....
Nakumbuka sana Arovera tena baadhi zilikuwa za kutengeneza kwa ajili ya kiki...sasa kiki gani hizi unajidhalilisha na kujiua kisanii? Shida iko kwenye ELIMUHivi @Mshana Jr unakumbuka mwanzo Bongo movie kufa ilianza skendo kama hizo magazeti ya kina shigongo yakauza weeee baadae wakabaki wanalia njaa na haitotokea Bongo movie wafikie hata hadhi ya michezo kama baragumu au mambo hayo kwa namna zilikua na mashabiki
Wapi walipo chemka eleza tukujibuTuliite Tangazo, Onyo, Ilani, Wito, Barua ya madai au tuache ivyo ivyo kuwa Tangazo kwa Umma?
Ila hapa Learned Brother kachemka pakubwa. Sasa inaanza kusambaa kwenye ma group ya mawakili, utasikia 'jamani kuna kituko huko' mzigo unawekwa paap!
Nakumbuka sana Arovera tena baadhi zilikuwa za kutengeneza kwa ajili ya kiki...sasa kiki gani hizi unajidhalilisha na kujiua kisanii? Shida iko kwenye ELIMU
Nawaangalia tu nakuwasikitikia sana..unajua unapima kiwango cha weledi na ufahamu wa mtu kwa majibu yakeHasa unawapa ushauri hawa pimbi wanaanza kukunanga, watu wengine sio wasanii na wala hatutegemei kuingia studio, lakini madogo waelewe wao ni washamba wa jiji na kawaida Jiji ukilivamia litakuaibisha dakika sifuri
Faini milion 5 sio mabilioniMbona hio ni kesi haitaji kujifunza
Kusambaza picha mbaya za mwenzako ni kosa
Ccm tunakufungulia mashtaka bro jiandae kulipa fidia mahakamaniHuyo Harmo na Diamond na Rayvanny wote viazi sana +CCM wote Nyoso yaani watu wanachoma mb kuwafatilia hawa mafala from Nanjilinji.
Duuh!! MabilioniCcm tunakufungulia mashtaka bro jiandae kulipa fidia mahakamani
Ngoja nimsikilize Remmy Ongala hapa