Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 7,621
- 16,372
Hawafanyi muziki tena....
Harmonize is a natural person while simba is not. Simba Board of Trustees is registered by RITA.Kwani entities zote zinasajiliwa RITA na NIDA pekee!? je Simba Sports Clubs ipo RITA au NIDA.
Tumia akili
Wewe mbumbumbu unajua kitu gani wewe!?Harmonize is a natural person while simba is not. Simba Board of Trustees is registered by RITA.
Jamaa amemtafuta mtu anaitwa Harmonize kwenye hizo taasisi na si vinginevyo. Jina la harmonize sio trade mark ila ni business name. Swali je amelisajili? Linaweza kusajiliwa?Wewe mbumbumbu unajua kitu gani wewe!?
Entities zinasajiliwa sehemu tofauti tofauti.
Kuna kitu kinaitwa Trade Mark unakijua!?
1. Unawajua COSOTA
2. Unawajuwa BRELA
3. Unawajua BASATA
Nenda kapitie huko usome sheria za huko kisha urudi na ujinga wako hapa.
Hujui chochote wewe.Jamaa amemtafuta mtu anaitwa Harmonize kwenye hizo taasisi na si vinginevyo. Jina la harmonize sio trade mark ila ni business name. Swali je amelisajili? Linaweza kusajiliwa?
Wewe ambaye hata trade mark hujui maana yake unaniambia sijui chochote. Najua umekarir hizo taasisi lakini pia najua hujui zinafanyaje kazi.Hujui chochote wewe.
Unanipotezea muda.
Watu lazima walijue hilo.mmakonde kaja town juzi juzi tu. Anataka kuwapanda kichwani wajanja waliozaliwa town. Na safari hii atarudi mtwara kwa mguu.
Jerome Msemwa ni mwanasheria mkubwa hapa mjini.Na mashaka na elimu ya mwanasheria wa mmakonde
Kuna utofauti ya Mwanasheria Mkubwa na Mwanasheria mwenye Jina kubwa. Labda ungetuletea hapa Amesimamia wateja wangapi kashinda ngapi na kashindwa ngapi.. na Alisimama na Akina nani?? Binafs sina ushabiki wa hizo team but naona huyo Mwanasheria wako Mkubwa kachemka labda kama tu anataka kutengeneza mazingira ya Kupiga hela kwa huyo msanii.Jerome Msemwa ni mwanasheria mkubwa hapa mjini.
Dudu la yuyu ni lake. KalitimaHuyu ni mbunge mtarajiwa wa Mtwara. Vetting alifanyiwa na Rais
Dogo anajisahauWatu lazima walijue hilo.
Kila mahali kuna wenyeji, usijikweze utashushwa, ikibidi hata kibabe
Mkuu ebu tusaidieni sisi tusiokuwa na elimu ya sheria, tupunguze kuminyana. Ebu tupe elimu ya trademark na Business namesHujui chochote wewe.
Unanipotezea muda.
Harmonize Hana ubavu huo , alishangilia kujibizana nao, kumbe wenzake wamemchora kitambo na yeye akachochora , eti linauliza ni kibamia au tango mashabiki nao wakampaaaa oooh tangoooo ..... Mpak wenzake wakalitonya oyaa mwamba unaharibiwa brand ndo likazinduka et lazimaaaa niakashitaki Too late