Jimmy De Lite
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 635
- 2,305
Hey Guys,
I Hope Mko Poa, Ryt?
Okay
Nimefuatilia hili sakata La Harmonize kujiondoa Hii lebo kubwa ya WCB halafu nikaangunisha na mwenendo wa Fiesta ulivyo kwa sasa nikagundua hapa kuna namna ya sisi mashabiki kuchezewa akili.
Ukiitazama Fiesta ilivyo mwenendo wake wa show za mwaka Jana utagundua kuwa ilipoteza mvuto Kutokana na ukosefu wa wasanii wenye mvuto kwa mashabiki kama Harmonize n.k. so nafikiria huu ni mpango ambao umepangwa kiaina flani hivi baada ya kuona Alikiba hana mvuto tena kwenye show za fiesta.
Nahisi Harmonize anatoka WCB kwa mipango kabisa ya Maboss hasa Sallam SK,Joseph kusaga na Diamond mwenyewe na sitoshangaa ukaribu kuendelea kuwepo ili Harmonize aendelee kuwepo kimziki, hapa Nahisi Harmonize haondoki WCB kama alivyo ondoka Mavoko,Bali Harmonize anaondoka WCB kimkakati wa kuirudisha Fiesta kwenye Chat, na Clouds walisubiri hili deal likamilike ndo waanze kutangaza show zao za fiesta wapi zitaanzia na vitu vingi kama hivyo.
Wadau tuendelee kumsupport Harmonize Hii ni Biashara tu.
Jimmy-Jay.
I Hope Mko Poa, Ryt?
Okay
Nimefuatilia hili sakata La Harmonize kujiondoa Hii lebo kubwa ya WCB halafu nikaangunisha na mwenendo wa Fiesta ulivyo kwa sasa nikagundua hapa kuna namna ya sisi mashabiki kuchezewa akili.
Ukiitazama Fiesta ilivyo mwenendo wake wa show za mwaka Jana utagundua kuwa ilipoteza mvuto Kutokana na ukosefu wa wasanii wenye mvuto kwa mashabiki kama Harmonize n.k. so nafikiria huu ni mpango ambao umepangwa kiaina flani hivi baada ya kuona Alikiba hana mvuto tena kwenye show za fiesta.
Nahisi Harmonize anatoka WCB kwa mipango kabisa ya Maboss hasa Sallam SK,Joseph kusaga na Diamond mwenyewe na sitoshangaa ukaribu kuendelea kuwepo ili Harmonize aendelee kuwepo kimziki, hapa Nahisi Harmonize haondoki WCB kama alivyo ondoka Mavoko,Bali Harmonize anaondoka WCB kimkakati wa kuirudisha Fiesta kwenye Chat, na Clouds walisubiri hili deal likamilike ndo waanze kutangaza show zao za fiesta wapi zitaanzia na vitu vingi kama hivyo.
Wadau tuendelee kumsupport Harmonize Hii ni Biashara tu.
Jimmy-Jay.