eddy brown
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 414
- 310
Hoja yangu iko katika wimbo wa "one night STAND" Kutokana na ujumbe uliokuwemo kwenye huo wimbo hakutakiwa kutamka "One night STEND" kufanya hivyo amepotosha maana ya wimbo. Inatakiwa itamkwe "One night STAND"