Ndio nini hiyo na mie nikaitafute.....watu wanasahau kuna njia nyingi za kutoka kwa msanii mojawapo hiyo aliyoamua yeye na huenda mbele ya safari anaweza akabadilika maana nyimbo nyingi za wasanii wakubwa ni za kawaida sema tu wanakuwa wamejenga jina tayari zinaonekana kali hivyo hata yeye anatafuta mkwanja kwanza kwa kutumia style aliyoingilia then baadae hata akijaribu mbinu nyingine anakuwa yupo vizuri financially hata akichemshaNgoma yake mupya ina view 2millions sasa nanyiy bado mnadis jama anagonga pesa wakati nyiy mnakula kaharo
1,000,000 = 1,000US then 2,000,000 = 2,000US ( Tsh 4,000,000 ) mtu anaingiza zaidi ya MILIONI 4 Kwa wiki tu kupitia YouTube sisi tumekaa tunamjadili wakati siyo mwenzetu tena huyoNgoma yake mupya ina view 2millions sasa nanyiy bado mnadis jama anagonga pesa wakati nyiy mnakula kaharo
Style anayoitumia Harmonize tangu awali ndiyo iliyomvutia Chibu kumsign under WCB sikia nyimbo zake kabla ya kuwa WCB kasuku na kidonda changu ndivyo anaimba mpaka sasa ingawa kuna vitu vimebadilika kidogo. Kama kumuiga Mond ndiyo kutoka mbona wengine wameshindwa ?Ingawa mimi ni team WCB ila sijawahi kumkubali harmonize, yaan naona anaforce mziki tena anavyomuiga chibu ndiyo anazidi kuniboa.
Mkuu kumbe n we umeliona ilo..... Rayvan yuko vzur sana tu, ingekua ni futbal player ktk team flan kam real madrid bs rayvan nngemfananisha n isco.... Yuko vzur sana dogo yule af hapapaliki, katulia yan... Anajiamini vilivyo, co kam hormonizer, ata wajina wake harmorapaalafu Wcb wasivyojua kutambua vipaji yule Harmonise wanamthamini kuliko wanavyomthamini fundi Raymond
Mmakonde kamfunika Mavoko kwenye SHOW MECjui kama nakosea au ni mtazamo wangu kwenye show me mavoko kafunikwa sana mule
Mmakonde kamfunika Mavoko kwenye SHOW ME
Mavoko ana sauti nzuri sana, ila anakera na hii design yake anayoimba cku hz. . Hatoi sauti ikatoka
Hilo halina ubishi. Halafu khs suala kufanana sio mbona west life wengi wana karibiana kiuimbaji still watu wanawependa.Cjui kama nakosea au ni mtazamo wangu kwenye show me mavoko kafunikwa sana mule
Mkuu kumbe n we umeliona ilo..... Rayvan yuko vzur sana tu, ingekua ni futbal player ktk team flan kam real madrid bs rayvan nngemfananisha n isco.... Yuko vzur sana dogo yule af hapapaliki, katulia yan... Anajiamini vilivyo, co kam hormonizer, ata wajina wake harmorapaalafu Wcb wasivyojua kutambua vipaji yule Harmonise wanamthamini kuliko wanavyomthamini fundi Raymond
Mkuu kumbe n we umeliona ilo..... Rayvan yuko vzur sana tu, ingekua ni futbal player ktk team flan kam real madrid bs rayvan nngemfananisha n isco.... Yuko vzur sana dogo yule af hapapaliki, katulia yan... Anajiamini vilivyo, co kam hormonizer, ata wajina wake harmorapa anamfunika vzur tuu...
Wasalaam wanajamvi.
Mimi ni mmoja wa mashabiki wa Harmonize na toka anatoa wimbo wa kwanza kwakweli alionesha ni wazi ana kipaji cha ajabu sana pamoja na kusikika kama Diamond,Mimi ni mmoja wa watu walioamini pengine Harmonize ana kipya cha kutupa mashabiki lakini ukweli ulio wazi Harmonize amechoka na hana kipya cha kuwapa mashabiki na wala habadiliki kabisa ukilinganisha na wenzie wakina Rich Mavoko na Ray vany...
Wakatia ametoa wimbo wa kwanza na wapili Mimi niliamini kabisa Harmonize angebadilika kila leo na kila siku hasa kwenye uimbaji au tungo zake lakini kwangu mimi sioni kipya bali naona mtu ambaye ameshakuwa mzigo kabisa ndani ya WCB na kibaya zaidi kuimba kama Diamond ndio kunazidi kumponza zaidi na zaidi na wala hana mpango wakubadilika kabisa......
Kibaya zaidi ni kwamba yeye pekee ndio anaonekana bado ana uwezo mdogo kabisa na muda mwingine huwa nafikiri pengine Diamond anaona kabisa alikosea kumsign WCB maana ni wazi kabisa amekosa kipya kabisa cha kuwapa mashabiki zaidi ya kuwakumbusha sauti ya Diamond...
hata kwenye wimbo alio imba na Rich mavoko(show me) kwakweli niliyekuwa namsikia ni Diamond na Rich mavoko...
Pia huwa najiuliza ni kweli Harmonize hana cha kujifunza kwa wenzie?Haoni kuwa hana kipya cha kuwapa mashabiki zaidi ya kuwakumbusha sauti ya Diamond jambo ambalo linakera sana tena sana.... Hawaoni wenzie kila wimbo wana uwezo wakuja tofauti na kubadilika?
Karibuni wana jamvi
Mi nitoe jamaa. Sema sio mwenzako kwani unajua vipato vya wanajamii wote humu.1,000,000 = 1,000US then 2,000,000 = 2,000US ( Tsh 4,000,000 ) mtu anaingiza zaidi ya MILIONI 4 Kwa wiki tu kupitia YouTube sisi tumekaa tunamjadili wakati siyo mwenzetu tena huyo
Hakuna mwenye shughuli rasmi kabisa aliye busy na kuhangaika kukuza biashara yake atakuwa yuko busy kutukanana na kuzusha propaganda za siasa humu - wengi humu ni walimu, wauza maduka, majobless na wafuasi wa vyama vya siasa wasiojielewa.Mi nitoe jamaa. Sema sio mwenzako kwani unajua vipato vya wanajamii wote humu.