Harmonize huna kipya cha kuwapa mashabiki, umeshakuwa mzigo jifunze kwa wenzio

Ngoma yake mupya ina view 2millions sasa nanyiy bado mnadis jama anagonga pesa wakati nyiy mnakula kaharo
Ndio nini hiyo na mie nikaitafute.....watu wanasahau kuna njia nyingi za kutoka kwa msanii mojawapo hiyo aliyoamua yeye na huenda mbele ya safari anaweza akabadilika maana nyimbo nyingi za wasanii wakubwa ni za kawaida sema tu wanakuwa wamejenga jina tayari zinaonekana kali hivyo hata yeye anatafuta mkwanja kwanza kwa kutumia style aliyoingilia then baadae hata akijaribu mbinu nyingine anakuwa yupo vizuri financially hata akichemsha
 
Ngoma yake mupya ina view 2millions sasa nanyiy bado mnadis jama anagonga pesa wakati nyiy mnakula kaharo
1,000,000 = 1,000US then 2,000,000 = 2,000US ( Tsh 4,000,000 ) mtu anaingiza zaidi ya MILIONI 4 Kwa wiki tu kupitia YouTube sisi tumekaa tunamjadili wakati siyo mwenzetu tena huyo
 
Ingawa mimi ni team WCB ila sijawahi kumkubali harmonize, yaan naona anaforce mziki tena anavyomuiga chibu ndiyo anazidi kuniboa.
Style anayoitumia Harmonize tangu awali ndiyo iliyomvutia Chibu kumsign under WCB sikia nyimbo zake kabla ya kuwa WCB kasuku na kidonda changu ndivyo anaimba mpaka sasa ingawa kuna vitu vimebadilika kidogo. Kama kumuiga Mond ndiyo kutoka mbona wengine wameshindwa ?
 
alafu Wcb wasivyojua kutambua vipaji yule Harmonise wanamthamini kuliko wanavyomthamini fundi Raymond
Mkuu kumbe n we umeliona ilo..... Rayvan yuko vzur sana tu, ingekua ni futbal player ktk team flan kam real madrid bs rayvan nngemfananisha n isco.... Yuko vzur sana dogo yule af hapapaliki, katulia yan... Anajiamini vilivyo, co kam hormonizer, ata wajina wake harmorapa
 
alafu Wcb wasivyojua kutambua vipaji yule Harmonise wanamthamini kuliko wanavyomthamini fundi Raymond
Mkuu kumbe n we umeliona ilo..... Rayvan yuko vzur sana tu, ingekua ni futbal player ktk team flan kam real madrid bs rayvan nngemfananisha n isco.... Yuko vzur sana dogo yule af hapapaliki, katulia yan... Anajiamini vilivyo, co kam hormonizer, ata wajina wake harmorapa

Mkuu kumbe n we umeliona ilo..... Rayvan yuko vzur sana tu, ingekua ni futbal player ktk team flan kam real madrid bs rayvan nngemfananisha n isco.... Yuko vzur sana dogo yule af hapapaliki, katulia yan... Anajiamini vilivyo, co kam hormonizer, ata wajina wake harmorapa anamfunika vzur tuu...
 
We endelea kupiga kelele huku mwenzio anajenga kwenye kiwanja chake

Ameshanunua gali 2 moja kashampa mama yake, tena kamtoa mtwara kamuamishia dsm

Akifanya show watu anajaza sio kenya tu hadi burundi

Kama haiingzi pesa haileti maana , sio lazima umshabikie harmonize wasanii wapo kibao
 
Wasalaam wanajamvi.
Mimi ni mmoja wa mashabiki wa Harmonize na toka anatoa wimbo wa kwanza kwakweli alionesha ni wazi ana kipaji cha ajabu sana pamoja na kusikika kama Diamond,Mimi ni mmoja wa watu walioamini pengine Harmonize ana kipya cha kutupa mashabiki lakini ukweli ulio wazi Harmonize amechoka na hana kipya cha kuwapa mashabiki na wala habadiliki kabisa ukilinganisha na wenzie wakina Rich Mavoko na Ray vany...

Wakatia ametoa wimbo wa kwanza na wapili Mimi niliamini kabisa Harmonize angebadilika kila leo na kila siku hasa kwenye uimbaji au tungo zake lakini kwangu mimi sioni kipya bali naona mtu ambaye ameshakuwa mzigo kabisa ndani ya WCB na kibaya zaidi kuimba kama Diamond ndio kunazidi kumponza zaidi na zaidi na wala hana mpango wakubadilika kabisa......

Kibaya zaidi ni kwamba yeye pekee ndio anaonekana bado ana uwezo mdogo kabisa na muda mwingine huwa nafikiri pengine Diamond anaona kabisa alikosea kumsign WCB maana ni wazi kabisa amekosa kipya kabisa cha kuwapa mashabiki zaidi ya kuwakumbusha sauti ya Diamond...
hata kwenye wimbo alio imba na Rich mavoko(show me) kwakweli niliyekuwa namsikia ni Diamond na Rich mavoko...

Pia huwa najiuliza ni kweli Harmonize hana cha kujifunza kwa wenzie?Haoni kuwa hana kipya cha kuwapa mashabiki zaidi ya kuwakumbusha sauti ya Diamond jambo ambalo linakera sana tena sana.... Hawaoni wenzie kila wimbo wana uwezo wakuja tofauti na kubadilika?

Karibuni wana jamvi

brother neno kibaya zaid lina maana gan coz naona umelitumia mala zaid ya 1 so kipi ni kibaya zaid sasa?,

kama ilivo kwenu wanasiasa huwa mnafanya lile linaloonekana kupendwa mna wengi na kupotezea wachache bhas elewa hata wasanii hufanya hivo so inawezekana kijana kapiga hesabu zake kaona mnaokeleka ni wachache kuliko wanaofulahia

mwsho,kijana kweli anakosea ila umezidisha chumvi,ww ngoja mtu aipake sisiemu yako umchalukie maana naona ubora wako upo katika kupigania chama
 
1,000,000 = 1,000US then 2,000,000 = 2,000US ( Tsh 4,000,000 ) mtu anaingiza zaidi ya MILIONI 4 Kwa wiki tu kupitia YouTube sisi tumekaa tunamjadili wakati siyo mwenzetu tena huyo
Mi nitoe jamaa. Sema sio mwenzako kwani unajua vipato vya wanajamii wote humu.
 
Diamond kaanzisha lebo ya WCB ili kuua vpaji vya wenzake. Ni mjanja sana, ameona ni kina nani wanahatarisha umaarufu wake na kisha kuwadhibiti. Vijana watapoteza vipaji vya hivihivi
 
Mi nitoe jamaa. Sema sio mwenzako kwani unajua vipato vya wanajamii wote humu.
Hakuna mwenye shughuli rasmi kabisa aliye busy na kuhangaika kukuza biashara yake atakuwa yuko busy kutukanana na kuzusha propaganda za siasa humu - wengi humu ni walimu, wauza maduka, majobless na wafuasi wa vyama vya siasa wasiojielewa.
 
Back
Top Bottom