Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Hoja yangu ni kua mikataba ya kinyonyaji ikomeshweTOKA AMETOKA PALE AME ACHIEVE NINI TOFAUTI MA ALIPOKUWA PALE???NJOO NA VALID EVIDENCE SIO CHUKI ZA KISHABIKI
Hoja yangu ni kua mikataba ya kinyonyaji ikomeshweTOKA AMETOKA PALE AME ACHIEVE NINI TOFAUTI MA ALIPOKUWA PALE???NJOO NA VALID EVIDENCE SIO CHUKI ZA KISHABIKI
Yuko mbali sanaTOKA AMETOKA PALE AME ACHIEVE NINI TOFAUTI MA ALIPOKUWA PALE???NJOO NA VALID EVIDENCE SIO CHUKI ZA KISHABIKI
Harmonize muongo na hatofanikiwa kama Chadema iwapo atatumia uongo ili ajitweze. Kama mkataba ule ulikuwa "legal and bind" ndio maana alilipa zile hela. Kama Diamond alikuwa anamkwepa kumpa Hati ya Kuvunja Mkataba kwanini hakumpeleka mahakamani?umemsikiliza Harmonize amesemaje kuhusu kulipa?
Mtu anasema aliishalipa hela yote ila akanyimwa termination letter... Diamond akawa anamkwepa mara kadhaa ndio akamwambia rais.....
hapo nani hajafuata taratibu za mkataba? Na nani ni mswahili? Maana hiyo hali ya kununua mkataba na kuuvunja ipo duniani kote na kwenye sanaa zote
Unapata faida gani kutetea ujinga?Harmonize muongo na hatofanikiwa kama Chadema iwapo atatumia uongo ili ajitweze. Kama mkataba ule ulikuwa "legal and bind" ndio maana alilipa zile hela. Kama Diamond alikuwa anamkwepa kumpa Hati ya Kuvunja Mkataba kwanini hakumpeleka mahakamani?
MAGUFULI hajaakuwa na haters yaani wanaojitambua ila palikuwa na wapumbavu wachache ambao hawamuelewi na wanamugopa mpaka amefariki ndo wanaongea porojoWACHACHE SANA NDIO HAWAMPENDI MAGHUFULI
AMBAO ALIKUWA ANAGUSA MADILI YAO YA KIJINGAJINGA
LKN SISI WENGINE TOKA MOYONI NI SUKUMA GANGS.
cc ZITO MUONGO SANAAAAAA
MAGUFULI hajaakuwa na haters yaani wanaojitambua ila palikuwa na wapumbavu wachache ambao hawamuelewi na wanamugopa mpaka amefariki ndo wanaongea porojo
Wapambe wa SADALA bhana,OK tutajie hayo masharti ya kuvunja mkatabaTATIZO LA KUPELEKA MAMBO KISWAHILI,UNAPOTAKA KUVUNJA MKATABA SEHEMU LAZIMA UTIMIZE MASHARTI YA MKATABA KWANZA IKIWEMO MALIPO YA KUVUNJA MKATABA KAMA YAPO,HUYO CHA KULIA LIA ALITAKA ASILIPE ILE ADA YA KUVUNJA MKATABA.
WATANZANIA NI WATU WASIOHESHIMU MIKATABA SIO SERIKALI SIO WANANCHI,RAISI MI NANI HATA AINGILIE MKATABA WA KIBIASHARA AMBAO YEYE SIO SEHEM YA MKATABA HUO???UHURU WA SHERIA UKO WAPI???RAISI ANAINGILIA KATI KAMA KUNA UONEVU NA SIO KULAZIMISHA HATA AMBAPO KUNA HAKI NA MKATABA UNASEMA HIVYO,LIPA ONDOKA SIO JANJA JANJA
Ametoka kwenye show huko marekani,wakati akiwa wasafi hakuruhusiwa hata kwenda kumzika RUGE MUTAHABATOKA AMETOKA PALE AME ACHIEVE NINI TOFAUTI MA ALIPOKUWA PALE???NJOO NA VALID EVIDENCE SIO CHUKI ZA KISHABIKI
Watu wa 🇧🇮 bhana,sasa nyie hata mkienda shiriki huko mnaleta nini?Huyo Mmakonde aache kutia Huruma, mwambieni akafanye kazi na ili kuonesha kwamba kazi zote alizofanya mwaka huu ni chafu hajawa nominated kwenye tuzo hata moja
Acheni kulialia nyie wamakonde
Uliskiliza intavyuu au?!!!TATIZO LA KUPELEKA MAMBO KISWAHILI,UNAPOTAKA KUVUNJA MKATABA SEHEMU LAZIMA UTIMIZE MASHARTI YA MKATABA KWANZA IKIWEMO MALIPO YA KUVUNJA MKATABA KAMA YAPO,HUYO CHA KULIA LIA ALITAKA ASILIPE ILE ADA YA KUVUNJA MKATABA.
WATANZANIA NI WATU WASIOHESHIMU MIKATABA SIO SERIKALI SIO WANANCHI,RAISI MI NANI HATA AINGILIE MKATABA WA KIBIASHARA AMBAO YEYE SIO SEHEM YA MKATABA HUO???UHURU WA SHERIA UKO WAPI???RAISI ANAINGILIA KATI KAMA KUNA UONEVU NA SIO KULAZIMISHA HATA AMBAPO KUNA HAKI NA MKATABA UNASEMA HIVYO,LIPA ONDOKA SIO JANJA JANJA
Umekula?Watu wa 🇧🇮 bhana,sasa nyie hata mkienda shiriki huko mnaleta nini?
Huyo lucifer/mnyonyaji three times nominated kwenye BET lini aliileta tuzo nyumbani?
Acha mipasho kumbuka wewe wa kiumeUmekula?
Umekunywa maji baridi kabisa?
Kama hujafanya hivyo vitu, nenda kafanye na utanishukuru badae
Aya sawaAcha mipasho kumbuka wewe wa kiume
Kwahio mtetezi wake hayupo tena!!
Mzilankende Katuachia Sarakasi JamaniKwahio mtetezi wake hayupo tena!!