ObieTrice
Senior Member
- Jun 27, 2017
- 159
- 154
Harmonize akacomment hivi kwenye video yake
"Vipi kwani ? mbona nasikia mtaa wa 3 povu kwani katajwa mtuu? message ikishafikaga ukweli unaumaga ? [HASHTAG]#NIMECHOKA[/HASHTAG] mwambie tena anaejifanya anakujuwa sana !!! pambana na[HASHTAG]#HUBALAKO[/HASHTAG] @sarah__tz"