Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,887
OhMalipo hayatokani na ulichoingiza bali binding contract mliyosainiana, mkataba wa Konge gang unasema msanii akivunja mkataba anailipa label shilingi bilioni moja na label ikivunja mkataba inamlipa msanii shilingi milioni kumi regardless.
Sasa hapo label imevunja mkataba hivyo inapaswa kuwalipa wasanii hizo milioni kumi kwa kila msanii, nothing more nothing less.