Harmonize anawekwa mjini na demu wa kizungu, aachana rasmi na Jackline Wolper

Na hii inasadikika ndio nguvu kazi ya taifa. Ya Rabbi tustiri maana tofauti ya watoto wa kike na kiume inazidi kufifia.
 
Haki huyu bibi wa kichaga hata simsomi hivi unaanzaje kuachwa na harmonize?
Kwa mfano eti
Haiwezekani unachumbiwa au unaangia love na mtu unaishia kuachwa tu hii imekaaje
There are something behind
Si bure!
Unajua sikuelewagi ujue na zile skendo zile mhhh
Na huyu bibi siku hizi kuna udaku kutoka kwa mange na clip za ushahidi kuwa kaonekana south africa
Hahahaha mume wa mtu ati
Ila mke wake gavana wa mkoa wetu jama ana moyo eti eeh
Au ndo yale ya "mume ana meno yanauma?" Labda
Gavana nae simuelewagi haya wolper simuelewagi haya hapo vepeer
Teh teh natamani nipewe macho ya rohoni yakumulika uozo vitandani teh teh
Wolper olewa bibi we khaaa
Naskia harmo yupo na muzungu
Mzungu hoyeeeeee
Na wewe utulie sasa

Wewe ni wa jinsia gani au una jinsia zotezote
 
Majina ya kishoga shoga ya insta [HASHTAG]#nyokowaniache[/HASHTAG]
 
Katika vitu ambavyo vinatushushia heshima wanaume ni UNOKO..au we ni ke mkuu mana hizo ndo ishu za wanawake.
 
Haki huyu bibi wa kichaga hata simsomi hivi unaanzaje kuachwa na harmonize?
Kwa mfano eti
Haiwezekani unachumbiwa au unaangia love na mtu unaishia kuachwa tu hii imekaaje
There are something behind
Si bure!
Unajua sikuelewagi ujue na zile skendo zile mhhh
Na huyu bibi siku hizi kuna udaku kutoka kwa mange na clip za ushahidi kuwa kaonekana south africa
Hahahaha mume wa mtu ati
Ila mke wake gavana wa mkoa wetu jama ana moyo eti eeh
Au ndo yale ya "mume ana meno yanauma?" Labda
Gavana nae simuelewagi haya wolper simuelewagi haya hapo vepeer
Teh teh natamani nipewe macho ya rohoni yakumulika uozo vitandani teh teh
Wolper olewa bibi we khaaa
Naskia harmo yupo na muzungu
Mzungu hoyeeeeee
Na wewe utulie sasa
Naskia panya kafia pale kati!sina uhakika lakini
 
Mleta uzi baada ya kuona wamekusakama kwenye ile ID yako nyingine ya Ray Younger umeamua kuja tena ki hivi.
 
Ww ni wale wabana sauti na wanyoa viduku,warembo warembo itakua.unaandika itadhani k
 
Back
Top Bottom