MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,924
- 8,911
Unafiki.Kwa sheria za nchi yetu, bangi ni madawa ya kulevya
Waanze kukagua Jeshini na polisi wanaovuta Bange.
Unafiki.Kwa sheria za nchi yetu, bangi ni madawa ya kulevya
Wanasubiri atoe Diamond ndo wafunge. Harmo kaimba pambio mbonaHarmonize ametoa wimbo unaohamasisha matumizi ya bange lakini cha ajabu mpaka sasa serikali bado haijamchukulia hatua zozote za kinidhamu.
Huyu jamaa ulimbukeni na ushamba vinampeleka puta sana, hayo mambo ya mabangi yake angebaki nayo huko huko lakini si kuja kututangazia upumbavu wake.
Eti jamani!!Kwani bangi ina tatizo gani ?
Utaskia " kanipa kisamvu kipapatio nyama ya njiwa"Si yeye tu, kariba ya wasanii wote wanaimba mambo ya kuhamasisha maovu na machafu... asipodhihirika kwenye sauti utampata kwenye video ukimkosa kwenye video utamshika kwenye jina utampata kwenye maudhui na kama ukimkosa kwenye vyote utampata kwenye lifestyle mfano chakula, mavazi, lugha, hobby, na kadhalika
ngalia orodha
"Nikishalewa sitaki nighasiwe..."
"Bora/acha nilewe..."
"Je watakubali... kula kwangu hadi nikimbizwe..."
"Raha nikikuta simba wanacheza... nitakula jicho..."
"Mimi ndo rafiki wa Lucifer utaniambia nini?..."
"Shetani mwenyewe akiniona anatoka mkuku..."
"Man down..."
"Masikini jeuri..."
"Kasimama dede..."
"Mbona hutokei..."
"Mitungi mikasi"
"Sukari..."
"Kamatia chini..."
"Mwagia ndani..."
Orodha ni ndefu lakini kiujumla hawa wasanii ukiangalia vizuri vaa yao ongea yao na kazi wanazofanya ndo utagundua kwanini wajanja wanakwambia MZIKI DHAMBI
You can't be seriousHatimaye sauti imesikika jamaa ameitwa basata
AiseeJipige do** kisha sema kwa nguvu kwamba wewe mleta mada ni Upinde wa Mvua
Hivi mim hua naishi nchi ipi, Mbona hizi nyimbo sijawai zisikiaHarmonize ametoa wimbo unaohamasisha matumizi ya bange lakini cha ajabu mpaka sasa serikali bado haijamchukulia hatua zozote za kinidhamu.
Huyu jamaa ulimbukeni na ushamba vinampeleka puta sana, hayo mambo ya mabangi yake angebaki nayo huko huko lakini si kuja kututangazia upumbavu wake.