Harmonize ameenda Nigeria leo kukamilisha album yake. Wizkid na Burnaboy ni miongoni mwa wasanii walioshirikishwa humo

ze jj

JF-Expert Member
Aug 20, 2012
485
571
Star wa Bongo Fleva anaetrend na attitude leo kaenda Nigeria kukamilisha shooting ya video ya nyimbo 2 alizoimba na Burnaboy na Wizkid. Safari ya International ndio kwanza imeanza.

Tukae mkao wa kula.

1619611807624.png

 
Back
Top Bottom