Harmonise aliedaiwa kuwatusi wakenya ageuka lulu mbele ya Uhuru na Odinga leo.

REDEEMER.

JF-Expert Member
Feb 22, 2015
8,925
14,880
Tanzania music is the African or East African in particular is the dope heroine, its the unescapable addition which will rule you whether like it or not, nilishangaa hivi viwakora filthy huku vilivyoshadadia that fake fabricated jealous, kumbe madingi zao wanawacheki tu kwa zarau πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ what a karma

Nyie tulieni tuwatawale taratibu punguzeni mbwembwe mazee

harmonize_tz+InstantSave52f3b.jpg




Povu linaruhusiwa ila la viwango.
 
Tanzania music is the African or East African in particular is the dope heroine, its the unescapable addition which will rule you whether like it or not, nilishangaa hivi viwakora filthy huku vilivyoshadadia that fake fabricated jealous, kumbe madingi zao wanawacheki tu kwa zarau πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ what a karma

Nyie tulieni tuwatawale taratibu punguzeni mbwembwe mazee

View attachment 989407



Povu linaruhusiwa ila la viwango.

Obama na white house mzima walidance ngoma ya sura yako ya sauti sol na tukanyamaza nyinyi mnasherekea upuzi
 
Tanzania music is the African or East African in particular is the dope heroine, its the unescapable addition which will rule you whether like it or not, nilishangaa hivi viwakora filthy huku vilivyoshadadia that fake fabricated jealous, kumbe madingi zao wanawacheki tu kwa zarau what a karma

Nyie tulieni tuwatawale taratibu punguzeni mbwembwe mazee

View attachment 989407



Povu linaruhusiwa ila la viwango.
Hawa vijana wetu wako mbali sana, hata uwachukie vipi huwezi fanikiwa... Hukawii kusikia jamaa wanaanza eti mbona wasanii wa nyumbani hawathaminiwi...

Halafu juzi tu kuna Gavana wao mmoja alikua anahojiwa ni nyimbo gani anaipenda akataja na kuanza kuimba nyimbo za Harmonize wacha povu lianze kuwatoa wasanii wao.... Tatizo viwango vyao bado ni vya mchangsni, a.k.a Kinesi cup :)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa vijana wetu wako mbali sana, hata uwachukie vipi huwezi fanikiwa... Hukawii kusikia jamaa wanaanza eti mbona wasanii wa nyumbani hawathaminiwi...

Halafu juzi tu kuna Gavana wao mmoja alikua anahojiwa ni nyimbo gani anaipenda akataja na kuanza kuimba nyimbo za Harmonize wacha povu lianze kuwatoa wasanii wao.... Tatizo viwango vyao bado ni vya mchangsni, a.k.a Kinesi cup :)

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lao ni ubinafsi na wivu wanafikiria kwa kumchukia aliefanikiwa ndio kumpita, mziki wa Tanzania ni mzuri number moja Africa tena upo best zaidi ukiwa kwenye swahili,

Kitu ambacho hawawezi kukicontrol ni quality power, kitu kishakua kizuri hata ufanyaje lazima moyo utakubali hata kama hupendi utaimbia hata chooni usionekane, always music speaks to souls, wanajitahidi sana kuukaushia mziki wa Tanzania lakini wanashindwa.
 
Nyie watu kaeni vizuri sababu mkileta ubishi nitawalipua hapa niwaache watupu,

Nikiamua kutumia radar zangu hamchomoki nitawaonesha kweli Tanzania ipo mbali kwenye issues za cyber attacks

Wote mpo addicted na miziki ya Tanzania, mnabisha niweke facts hapa?
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Mkuu si uwalipue tu tufaidi wengi
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Mkuu si uwalipue tu tufaidi wengi
Kwa sababu wametii nimenyamaza ila wote wana taarifa zangu sababu lishawaoneshea advertise moja kali kila mmoja kwa wakati wake kwa hiyo wanajua ninachomaanisha, hata wewe nikikutataka nakupata so take care.
 
FaizaFoxy hiki ndicho kimombo wewe hukashifu Mara kwa Mara? πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†

Anyways,Majigambo hayafai humu duniani hususan pale mtu anajigamba na vya wenyewe (ziada points REDEEMER. )

πŸ˜‚πŸ˜‚ Naona kijana wetu yupo kwenye ulinzi maridadi wa majeshi yote ya Kenya.

Well done πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
Huyo ndio Rais wenu hamna la kumfanya zaidi ya kutii
 
Halafu hicho kibibi unachoniitia nilimekipiga kombora matata mahali so leo hakina hamu na mimi kabisa sababu toka nikishushie ile nyundo kimezima kabisa PC one way, Acha kipumzishe akili kidogo.
FaizaFoxy hiki ndicho kimombo wewe hukashifu Mara kwa Mara? πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†

Anyways,Majigambo hayafai humu duniani hususan pale mtu anajigamba na vya wenyewe (ziada points REDEEMER. )
 
Tanzania music is the African or East African in particular is the dope heroine, its the unescapable addition which will rule you whether like it or not, nilishangaa hivi viwakora filthy huku vilivyoshadadia that fake fabricated jealous, kumbe madingi zao wanawacheki tu kwa zarau πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ what a karma

Nyie tulieni tuwatawale taratibu punguzeni mbwembwe mazee

View attachment 989407



Povu linaruhusiwa ila la viwango.

Nangoja Omo!
 
Nyie watu kaeni vizuri sababu mkileta ubishi nitawalipua hapa niwaache watupu,

Nikiamua kutumia radar zangu hamchomoki nitawaonesha kweli Tanzania ipo mbali kwenye issues za cyber attacks

Wote mpo addicted na miziki ya Tanzania, mnabisha niweke facts hapa?
Naona unawashwa na umama tu, we kenyans love good music whether its bongo or naija,sasa sijui shida ni nini ukonayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona unawashwa na umama tu, we kenyans love good music whether its bongo or naija,sasa sijui shida ni nini ukonayo

Sent using Jamii Forums mobile app
Una bahati umekiri wazi kwamba Tanzanian music is superb, and that's fact, huwezi hata siku moja kuuweka mziki wa Kenya na Tanzania in the same sentence na inakulikana wazi Tanzanian musicians are gods in Kenya, mwanamziki wenu ambae ndio star hit maker of your level ni Khaligraph and Sauti Soul ambao wote walikua listed kwenye wasafi assistant featured performers,

Hakuna mwanamziki Kenya anaweza kuja Tanzania na kuandaa show then amuweke hata muimba singeli kama local artist, never.
 
Una bahati umekiri wazi kwamba Tanzanian music is superb, and that's fact, huwezi hata siku moja kuuweka mziki wa Kenya na Tanzania in the same sentence na inakulikana wazi Tanzanian musicians are gods in Kenya, mwanamziki wenu ambae ndio star hit maker of your level ni Khaligraph and Sauti Soul ambao wote walikua listed kwenye wasafi assistant featured performers,

Hakuna mwanamziki Kenya anaweza kuja Tanzania na kuandaa show then amuweke hata muimba singeli kama local artist, never.
πŸ˜‚πŸ˜‚ Naona kijana wetu yupo kwenye ulinzi maridadi wa majeshi yote ya Kenya.

Well done πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
Huyo ndio Rais wenu hamna la kumfanya zaidi ya kutii
Halafu hicho kibibi unachoniitia nilimekipiga kombora matata mahali so leo hakina hamu na mimi kabisa sababu toka nikishushie ile nyundo kimezima kabisa PC one way, Acha kipumzishe akili kidogo.
Kula pweza na kaa ulale. Unaboa wasomaji. Mbona unaringa na vya wenyewe? Viko wapi vyako? Ama wewe ni yule mchekeshaji wa kuingiza? Lol
 
Una bahati umekiri wazi kwamba Tanzanian music is superb, and that's fact, huwezi hata siku moja kuuweka mziki wa Kenya na Tanzania in the same sentence na inakulikana wazi Tanzanian musicians are gods in Kenya, mwanamziki wenu ambae ndio star hit maker of your level ni Khaligraph and Sauti Soul ambao wote walikua listed kwenye wasafi assistant featured performers,

Hakuna mwanamziki Kenya anaweza kuja Tanzania na kuandaa show then amuweke hata muimba singeli kama local artist, never.
and your point is???😐
 
Kula pweza na kaa ulale. Unaboa wasomaji. Mbona unaringa na vya wenyewe? Viko wapi vyako? Ama wewe ni yule mchekeshaji wa kuingiza? Lol
Hakuna mziki Kenya tena, mziki ulikua kipindi cha kina nameless, wahuu, nyota ndogo, jua kali, Sarah K

Hawa mlionao saivi ni waropokaji
 
Una bahati umekiri wazi kwamba Tanzanian music is superb, and that's fact, huwezi hata siku moja kuuweka mziki wa Kenya na Tanzania in the same sentence na inakulikana wazi Tanzanian musicians are gods in Kenya, mwanamziki wenu ambae ndio star hit maker of your level ni Khaligraph and Sauti Soul ambao wote walikua listed kwenye wasafi assistant featured performers,

Hakuna mwanamziki Kenya anaweza kuja Tanzania na kuandaa show then amuweke hata muimba singeli kama local artist, never.
congo,jamaica have good music than you and also very poor
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom