Amina Thomas
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 272
- 129
Mtoto wa mh. Juma Mwapachu, Harith, amefariki ghafla leo alfajiri. Inna lillahi wa inna illaihi raj'un
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amina samahani marehemu alikuwa nani maana umetoa taarifa kama wote tunamfahamu Harithi Mwampachu. Poleni familia ya marehemu Allah awape uvumilivu katika kipindi hiki.Mtoto wa mh. Juma Mwapachu, Harith, amefariki ghafla leo alfajiri. Inna lillahi wa inna illaihi raj'un
Samahani hao ni akina nani?Mtoto wa mh. Juma Mwapachu, Harith, amefariki ghafla leo alfajiri. Inna lillahi wa inna illaihi raj'un
Amina samahani marehemu alikuwa nani maana umetoa taarifa kama wote tunamfahamu Harithi Mwampachu. Poleni familia ya marehemu Allah awape uvumilivu katika kipindi hiki.
Bado hujanijibu nikakuelewa, yaani alikuwa nani katika jamii hadi ukafikia kuleta thread humu ndani? Mimi namfahamu Bakari Mwapachu yule aliyewahi kuwa Naibu Waziri kipindi kile Usamala wa Raia baade ikaletwa tena Mambo ya Ndani. Ndiyo huyo mwanae, vinginevyo mwaga CV ya marehemu badala ya kuishia kusema amekufa.alikua mtoto wa mh. Juma mwapachu.
Mtoto wa mh. Juma Mwapachu, Harith, amefariki ghafla leo alfajiri. Inna lillahi wa inna illaihi raj'un
post nyingine zinakua kama vile wote tunajuana
Alikua na cheo gan kwan?