Hard Punch: Je, kuwa na mkono wenye ujazo ndio unakuwa na gumi jiwe

Ndugu mimi hapa nazungumzia ngumi nzito/massive/power punch, kitu ambacho kina si unit/measurement zake

Haiwi determined na ukubwa wa mtu ama uzito,,ndio maana kwenye Guinness book of record wameeleza kabisa Bruce lee alikuwa na uzito nusu ya champion Mohamed Ali lakini wote walikuwa na uzito wa ngumi ambao ni 350 pounds, yaani akikushona ngumi ni sawa na kuangushiwa mifuko 3 ya cement.

Hata wale wrestlers huwa wanashindana kwa kutandika zile balls zinapanda juu nakutoa vipimo nani ana ngumi yenye ujazo mkubwa.
Ila hiyo sijui ngumi jiwe sidhani kama kuna measurement zake, ipo sana kwa wanajeshi wazee wa kupasua matofali
Itachukua muda sana mtu kama wewe kuelewa.

mimi nipo kwenye darasa la ngumi nakueleza Proffesional unaleta sijui Geness.

Unajua maaana ya uzito na speed, velocity..kitu kilichoenda kwa speed unasemaje kizito sleep inakuwa uzito tunasema risasi ina hit HARD, ngumi iliyorusha kwa Speed ina hit HARD ndio maana inaitwa HARD PUNCH je kiswahili cha HARD ni UZITO na nimetumia misamiati ya kiswahili ili kukuelewesha.

Mimi wewe nimekushindwa sidhani hata kama ushawai pigana uringoni
 
Ngumi jiwe ni mfupa uliojaa kwa mazoezi ama kwa asili kuzaliwa,mwili unaweza kua mwembamba lakini mfupa mzito.
Sijapata kuona mtu wa kumtolea mfano kuzidi Bruce Lee.
Ngumi jiwe aijalishi uwe na mwili upi iwe mwembamba ama mnene,kikubwa ni mfupa wa mwili ukishiba basi ngumi inakua jiwe.
 
Common sense ya kawaida ....ukishakua na kono kubwa huezi kua na ngumi kali maana ukirusha ngumi mkono haunyooki....komo linakua zito.
Yes Sahihi
So usije ukamuona baunsa mwenye nyama kama za kwenye sambusa basi ukatishika.
Hapa usipime upepo Boss, kwenye kupigana kuna vitu vitatu ukitoa ngumi itself
1)Skills
2)Timing
3)Nguvu(from muscle)

kama wote ni Ordinary person hamuna mafunzo Point namba 2 na 3 zitafanya kazi so Baunser tiyari hapo kakupita point moja utahutaji Hustle kubwa kumpiga Baunser yeye hatohitaji Hustle kubwa kukupiga.

kuna situation kama za kukunjana kudondoshana chini hapo Msuli utafanya kazi una 80% za kudondoshwa una 20% za kumdondosha.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Unajidanganya unajua Nguvu inazalishwaje mwilini.

Bigger size = more energy
Smaller Size = less energy

Piga push-up zako alafu kawekeane msuri na Kai Green uwone nani atadondoshwa chini.
Njoo polepole mkuu ,ukiangalia vizuri nimeanza kuquote kuanzia hapa, unasema Bigger size=more energy and vice versa halafu tukubaliane na wewe,
Itachukua muda sana mtu kama wewe kuelewa.

mimi nipo kwenye darasa la ngumi nakueleza Proffesional unaleta sijui Geness.

Unajua maaana ya uzito na speed, velocity..kitu kilichoenda kwa speed unasemaje kizito sleep inakuwa uzito tunasema risasi ina hit HARD, ngumi iliyorusha kwa Speed ina hit HARD ndio maana inaitwa HARD PUNCH je kiswahili cha HARD ni UZITO na nimetumia misamiati ya kiswahili ili kukuelewesha.

Mimi wewe nimekushindwa sidhani hata kama ushawai pigana uringoni
Hilo darasa la ngumi labda ukawaeleze wasioelewa
 
Njoo polepole mkuu ,ukiangalia vizuri nimeanza kuquote kuanzia hapa, unasema Bigger size=more energy and vice versa halafu tukubaliane na wewe, Hilo darasa la ngumi labda ukawaeleze wasioelewa
Angalia hapo nimemjibu hoja gani, jamaa alisema Push-up guy ana nguvu kuliko Gym Guy...ndio nikamwambia nguvu ya mtu au mwili inatokana na Energy na energy hiyo inazalishwa kulingana na Size ya mwili wako.

Mkono wenye Diameter 20 unazalisha ATP kubwa kuliko ulio na Size ya Diameter 10 hii ndio maana vhikonda akiwekeana msuli na bonge chikonda anadondoshwa.

Haya mambo yapo Kibailojia na Physics zaidi ndipo hoja zangu nyingi zinakuwa supported na hizi elimu...siandiki kihisia.

THEN
Hapo suala lilikuwa halihusu ngumi naomba kuwa makini na hoja
 
Angalia hapo nimemjibu hoja gani, jamaa alisema Push-up guy ana nguvu kuliko Gym Guy...ndio nikamwambia nguvu ya mtu au mwili inatokana na Energy na energy hiyo inazalishwa kulingana na Size ya mwili wako.

Mkono wenye Diameter 20 unazalisha ATP kubwa kuliko ulio na Size ya Diameter 10 hii ndio maana vhikonda akiwekeana msuli na bonge chikonda anadondoshwa.

Haya mambo yapo Kibailojia na Physics zaidi ndipo hoja zangu nyingi zinakuwa supported na hizi elimu...siandiki kihisia.

THEN
Hapo suala lilikuwa halihusu ngumi naomba kuwa makini na hoja
Sawa mkuu sio mbaya ila swali langu ni moja tuelimishane hapa.
Hard punch inapimwa kwa kutumia nini?
Mfano massive punch measurement unit yake ni pounds na imetoa data nyingi za mabondia, wrestlers etc
Nini kinatambulisha jamaa A ana ngumi jiwe kuliko jamaa B ,
A
 
Sawa mkuu sio mbaya ila swali langu ni moja tuelimishane hapa.
Hard punch inapimwa kwa kutumia nini?
Mfano massive punch measurement unit yake ni pounds na imetoa data nyingi za mabondia, wrestlers etc
Nini kinatambulisha jamaa A ana ngumi jiwe kuliko jamaa B ,
A

Massive Punch inasukuma:
Rahisi kupima msukumo kwasababu msukumo una-make Distance kwenye kitu kilichosukumwa.

Hard Punch ina haribu:
Basi itapimwa kwa uharibifu wake, Tyson Hard Puncher kwasababu akipiga wapianzani wake anastua(haribu) ubongo wa mpinzani wake na kudondoka...NB kuanguka kwa Boxer ulingoni kutetemeshwa kwa ubongo ujue hilo~kutetemesha ubongo huitaji kupiga kichwa kwa mtindo wa kukisukuma bali kwa Speed kali uharibu system za balance as i state Hard Punch inaharibu.

Kimsingi Hard Punch si kitu rasmi kwenye haya mambo ya michezo na sio kitu kilicho entertained au si kitu unachoweza kukipima kwa urasmi ila ujue inasifa ya kuharibu target yake kwa speed yake.
 
speed na rotation ya mkono vinamatter zaidi
speed na rotation ya mkono inavyokuwa kubwa zaidi na impact huwa kubwa zaidi hata kama huna ngumi kubwa na msuli mkubwa.

ni kama impact ya risasi na impact ya kugongwa na gari inayotembea taratibu.
ile risasi itakutoboa na lile gari lenye speed ndogo litakupush.

so unaweza kuwa na mwili mkubwa na ngumi yako iwe kama jiwe ila ni slow itakuwa haina tofauti na kupush hivyo impact itakuwa ni ndogo kumknock out mpinzani.
na yule mwenye ngumi ndogo ila ana speed na rotation ya kutosha atakuwa na impact kubwa kiasi cha kumtoa knock out yoyote ni kama utegeshe fuvu mbele ya risasi.

Na technically ukiwa na mwili mkubwa na ngumi jiwe speed na rotation ya mkono lazima iwe ndogo haijalishi kwamba unazo nguvu.

Mfano mzuri ni bruce lee.
Conversation of linear momentum, speed matter mengine mbwembwe tu.
 
Hard punch kwa Kiswahili kisicho rasmi tunaweza sema ngumi jiwe; ni ile ngumi ukipigwa kichwani lazima urambe mchanga.

Swali
Je, kuwa na mkono uliojaza/mkubwa kama Mwarabu Fighter ndio unakuwa na ngumi jiwe(hard punch)?
Ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi
 
Unajidanganya unajua Nguvu inazalishwaje mwilini.

Bigger size = more energy
Smaller Size = less energy

Piga push-up zako alafu kawekeane msuri na Kai Green uwone nani atadondoshwa chini.
Vitabu mnavyosoma vinawadanganya ......tunaongea wazoefu
 
Munachanganya sana vitu hivi
1)Hard Punch~Ngumi jiwe
2)Massive Punch~Ngumi nzito
3)Fighting Skills~Uwezo/ujuzi wa kupigana

Bruce Lee hakuwa na ngumi nzi nzito bali alikuwa na ngumi jiwe(Hard Punch).

Kujua kupigana si kuwa na Hard Punch wala Massive Punch ila wengi wanakuwa na Hard Punch kwasababu wana Train mkono kupiga hiyo ngumi pia kuna waliyozaliwa na hiyo ngumi Mf Tyson ni Hard Puncher wakuzaliwa yeye kaongeza train za skills za kupigana.

Massive Punch (Ngumi nzito): him anayo aliyekuwa na mwili mkubwa either wakuzaliwa au wamazoezi kama Mudi mnyama au Mwarabu (I choose maarufu) hawa wakikupiga ngumi zao ni nzito ila si ngumi jiwe.

Baunser...ana ngumi nzito,

Ngumi nzito VS Ngumi jiwe
1)ngumi nzito ina athari ila si sana kama ngumi jiwe...ngumi jiwe ukipigwa kichwani inachezesha ubongo ila ngumi nzito inasukuma kichwa
2)Ngumi nzito ikikupiga mbavuni inakusukuma ila ngumi jiwe inavunja mbavu.
3)Baunser ana ngumi nzito ila Boxer ana ngumi jiwe


Mtu wa kawaija ambae hana mafunzo ya ngumi wala hana mwili hana ngumi nzito wana hana ngumi jiwe.

Usichanganye hivyo vitu

Kuna Physics ndani yake.

NB: usichanganye ngumi nzito na ngumi jiwe.


One Inch Punch, ni ngumi ya kusukuma si kutupa ngumi iliyojijenga na train nyingi hata wewe ukiji train dairy utakuwa na uwezo mkubwa wa kupiga inch punch.

NB:
Hard Punch unakuwa nayo kwa njia mbili
1)Kuzaliwa
2)mafunzo

Ngumi nzito unakuwa nayo kwa njia moja
1)Mwili mkubwa
*kuzaliwa
*kutengeneza (Gym)

IP MAN no 2
_Yule adui alikuwa vitu vyote vitatu
*Skills
*Hard punc
*Massive puch
Ndio maana alikuwa akimpiga Don yen na Sam Hong wanaramba mchanga bila utata ila wakina Don walikuwa na Skills tu kwenye Concept ya Movie ndio maana walimdongosha chini kwa skills pekee.

Michael Jay white ana vyoye vitatu
Yule jamaa wa Ip man 2 alishafariki tangu 2015
 
Back
Top Bottom