Paul Makonda
Member
- Jul 8, 2011
- 97
- 186
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) chini ya Mwenyekiti wake Ndugu Sadifah Juma Khamis wamefanya fundraising kwa ajili ya kuandaa matembezi ya mshikamano wa miaka 50 ya Mapinduzi.
harambee hiyo ambayo imehudhuriwa na Rais wa Serikali ya Mapinduz ya Zanzibar na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Taifa Mhe. Ally Mohamed Shein kama mgeni rasmi akiongozana na Makamu wa Pili wa Serikali ya Mapinduzi Mhe. Balozi Seif Alli Iddy.
harambee hiyo ambayo ililenga kukusanya kiasi cha milioni mia moja na hamsini kufanikisha shughuli hiyo inayotarajia kuanza tarehe 22 Dec 2013 mkoani Pemba ilifanikiwa sana kwa kuchangisha zaidi ya milioni mia mbili.
jumuiya hiyo imeshukuru wachangiaji ambao ni viongozi wa serikali, makada wa Chama Cha Mapinduzi na baadhi ya wanachama wa vyama vya upinzan ambao wamevutiwa na wazo la vijana la kuhamasisha mshikamano na Amani., na kwamba wanasikitishwa namatendo yanayofanywa na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa na wanasiasa hapa nchini vya kubaguana kikanda na kidini.
harambee hiyo ambayo imehudhuriwa na Rais wa Serikali ya Mapinduz ya Zanzibar na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Taifa Mhe. Ally Mohamed Shein kama mgeni rasmi akiongozana na Makamu wa Pili wa Serikali ya Mapinduzi Mhe. Balozi Seif Alli Iddy.
harambee hiyo ambayo ililenga kukusanya kiasi cha milioni mia moja na hamsini kufanikisha shughuli hiyo inayotarajia kuanza tarehe 22 Dec 2013 mkoani Pemba ilifanikiwa sana kwa kuchangisha zaidi ya milioni mia mbili.
jumuiya hiyo imeshukuru wachangiaji ambao ni viongozi wa serikali, makada wa Chama Cha Mapinduzi na baadhi ya wanachama wa vyama vya upinzan ambao wamevutiwa na wazo la vijana la kuhamasisha mshikamano na Amani., na kwamba wanasikitishwa namatendo yanayofanywa na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa na wanasiasa hapa nchini vya kubaguana kikanda na kidini.