Az 89
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 1,658
- 691
Wakuu kwa taarifa za uhakika nilizonazo huyu jamaa ni Baharia...sasa uwezo wa kununua Meli Hatuna basi tujichange hata kwa kununua Boti awe anatoka Dar to Zenji..maana siasa imemshinda anatengeneza blog tu na kuweka picha za kina Sinta that means yupo idle kwa sasa... Namba ya M-PESA Atakuja kuwapa yeye mwenyewe!