kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,297
- 12,597
Juhudi haishindani na kudra.
Msamaha wa akina babu Seya umetia maji na doa harakati za vikundi vya wanawake kupambana na uonevu mkubwa dhidi ya watoto wa kike. Nia ya kuwasamehe ni nzuri sana lakini haikuzingatia maslahi mapana ya mtoto wa kike.
Lakini pia ni kengele kwa mhili wa sheria kutoa hukumu zisizoacha mashaka na kuigawa jamii kama ilivyotokea kwenye hukumu ya babu seya.
Jamii inafahamu ukweli wa mambo yanayotokea kwenye jamii yao kuliko mahakama, hivyo hukumu zenu lazima zifanane na kinachofahamika kwenye jamii na wanajamii wenyewe.
Kulikuwa na mgawanyiko mkubwa kati ya hukumu na jamii inachokifahamu hivyo kusababisha mgawanyiko.
Msamaha wa akina babu Seya umetia maji na doa harakati za vikundi vya wanawake kupambana na uonevu mkubwa dhidi ya watoto wa kike. Nia ya kuwasamehe ni nzuri sana lakini haikuzingatia maslahi mapana ya mtoto wa kike.
Lakini pia ni kengele kwa mhili wa sheria kutoa hukumu zisizoacha mashaka na kuigawa jamii kama ilivyotokea kwenye hukumu ya babu seya.
Jamii inafahamu ukweli wa mambo yanayotokea kwenye jamii yao kuliko mahakama, hivyo hukumu zenu lazima zifanane na kinachofahamika kwenye jamii na wanajamii wenyewe.
Kulikuwa na mgawanyiko mkubwa kati ya hukumu na jamii inachokifahamu hivyo kusababisha mgawanyiko.