Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,836
Nawasalimia wana JF.
Kuna mwana JF mwenzetu anaitwa Depay Huyu mwenzetu huenda haifahamu vizuri Tanzania.
Leo nimedhamulia kuongelea harakati za tanzania katika kuendeleza uchumi wake.
Nitaanza kwa historia fupi ya Tanzania huku nikidokoa dokoa vitu vichache vichache kuhusu ukombozi wa bara la Africa ili kuhakikisha kwamba majirani zetu wametulia ilituweze kujiendeleza kiuchumi.
Katika thread hii nitaeleza hatua kuu mbili za mpango huu kabambe wa Tanzania kuhakikisha imejikwamua kiuchumi:
=>KENYA
Tanzania imeisaidia mambo mengi sana kenya. Lakini nitaongelea jambo moja ambalo lilitokea miaka ya 2007/2008. Rais wa Tanzania wakati ule JK alihakikisha nchi ya Jirani inakuwa na amani.
2007–08 Kenyan crisis - Wikipedia
Jakaya Kikwete, the President of Tanzania and Chairman of the African Union, arrived in Kenya on February 27, to assist in the talks. On the same day, Odinga said that the ODM had decided not to resume protests as planned on February 28, expressing continued commitment to the talks.[114]
=>UGANDA
Nchi ya Tanzania ili iweze kujikwamua kiuchumi lazima majirani waondokani na unyanyaswaji na unyama. Nduli Idd Amin Dadaa aliwatesa sana waganda kiasi cha kuitishia Tanzania. Wakati ule kijana Yoweri Museven alipata mafunzo hapa Tanzania. Na baada ya Nduli kuondolewa Uganda imekuwa na Utulivu na viongozi wamesimaia utu.
Uganda–Tanzania War - Wikipedia
Yoweri Museveni - Wikipedia
=>RWANDA
Baada ya kuzuka mgogoro ndani ya nchi ya rwanda. Kimbilio la Wanyarwanda lilikuwa ni Tanzania. Tanzania imehakikisha mgogoro huo unaisha. Kagame alipata mafunzo Tanzania. Sasa hivi Rwanda inaishi kwa amani.
Paul Kagame - Wikipedia
In 1978, Fred Rwigyema returned to western Uganda and reunited with Kagame.[18] During his absence, Rwigyema had joined the rebel army of Yoweri Museveni. Based in Tanzania, it aimed to overthrow the Ugandan government of Idi Amin.[18] Rwigyema returned to Tanzania and fought in the 1979 war during which Museveni's army, allied with the Tanzanian army and other Ugandan exiles, defeated Amin.[19] After Amin's defeat, inspired by Rwigyema, Kagame and other Rwandan refugees pledged allegiance to Museveni, a cabinet member in the transition government.[20] Kagame travelled to Tanzania where the Tanzanian government, which sought to protect the new Ugandan regime, trained him as a spy.[21]
=>CONGO
Baada ya mateso ya wakongomani na nchi yao kubadilishwa jina kuwa Zaire na Mobutu sese seko. Tanzania ilihakikisha Congo inalindwa na kuondokana na Unyama wa kiongozi muuaji.
Mobutu Sese Seko - Wikipedia
Laurent-Désiré Kabila - Wikipedia
Joseph Kabila - Wikipedia
Naomba nitaendelea kutoa kimoja baada ya kingine.
Nitaendelea...
Kuna mwana JF mwenzetu anaitwa Depay Huyu mwenzetu huenda haifahamu vizuri Tanzania.
Leo nimedhamulia kuongelea harakati za tanzania katika kuendeleza uchumi wake.
Nitaanza kwa historia fupi ya Tanzania huku nikidokoa dokoa vitu vichache vichache kuhusu ukombozi wa bara la Africa ili kuhakikisha kwamba majirani zetu wametulia ilituweze kujiendeleza kiuchumi.
Katika thread hii nitaeleza hatua kuu mbili za mpango huu kabambe wa Tanzania kuhakikisha imejikwamua kiuchumi:
- Ukombozi na Kusaidia nchi za Africa Hususani Nchi Jirani
- Mipango kabambe ya Kujikwamua kiuchumi
=>KENYA
Tanzania imeisaidia mambo mengi sana kenya. Lakini nitaongelea jambo moja ambalo lilitokea miaka ya 2007/2008. Rais wa Tanzania wakati ule JK alihakikisha nchi ya Jirani inakuwa na amani.
2007–08 Kenyan crisis - Wikipedia
Jakaya Kikwete, the President of Tanzania and Chairman of the African Union, arrived in Kenya on February 27, to assist in the talks. On the same day, Odinga said that the ODM had decided not to resume protests as planned on February 28, expressing continued commitment to the talks.[114]
=>UGANDA
Nchi ya Tanzania ili iweze kujikwamua kiuchumi lazima majirani waondokani na unyanyaswaji na unyama. Nduli Idd Amin Dadaa aliwatesa sana waganda kiasi cha kuitishia Tanzania. Wakati ule kijana Yoweri Museven alipata mafunzo hapa Tanzania. Na baada ya Nduli kuondolewa Uganda imekuwa na Utulivu na viongozi wamesimaia utu.
Uganda–Tanzania War - Wikipedia
Yoweri Museveni - Wikipedia
=>RWANDA
Baada ya kuzuka mgogoro ndani ya nchi ya rwanda. Kimbilio la Wanyarwanda lilikuwa ni Tanzania. Tanzania imehakikisha mgogoro huo unaisha. Kagame alipata mafunzo Tanzania. Sasa hivi Rwanda inaishi kwa amani.
Paul Kagame - Wikipedia
In 1978, Fred Rwigyema returned to western Uganda and reunited with Kagame.[18] During his absence, Rwigyema had joined the rebel army of Yoweri Museveni. Based in Tanzania, it aimed to overthrow the Ugandan government of Idi Amin.[18] Rwigyema returned to Tanzania and fought in the 1979 war during which Museveni's army, allied with the Tanzanian army and other Ugandan exiles, defeated Amin.[19] After Amin's defeat, inspired by Rwigyema, Kagame and other Rwandan refugees pledged allegiance to Museveni, a cabinet member in the transition government.[20] Kagame travelled to Tanzania where the Tanzanian government, which sought to protect the new Ugandan regime, trained him as a spy.[21]
=>CONGO
Baada ya mateso ya wakongomani na nchi yao kubadilishwa jina kuwa Zaire na Mobutu sese seko. Tanzania ilihakikisha Congo inalindwa na kuondokana na Unyama wa kiongozi muuaji.
Mobutu Sese Seko - Wikipedia
Laurent-Désiré Kabila - Wikipedia
Joseph Kabila - Wikipedia
Naomba nitaendelea kutoa kimoja baada ya kingine.
Nitaendelea...