Harakati za Pimbi

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,587
215,184
1150769
 
Huyu shori wake si alikuwa Betina, mama wa kulianzisha.

Hapana, yeye na vimbaumbau Betina mbalimbali, Zake heavy duties Zena and her Companies, ila kila dili lilikuwa linafail na hata kuambulia vipigo. Lilikuwa jarida mjarabu sana, kila mwisho WA mwezi, kulikuwa na mafunzo na tafsida ya vitu kuongelewa, tofauti na sasa tafsida ya Maneno imekuwa adimu
 
Alichezewa ndumba na zena.
lilikuwa gazeti zuri sana
Hivi wachoraji waliokuwepo enzi hizo wapo mpaka Leo?

hivi ni lini alkula papuchi huyu?
Kosa la pimbi lilikuwa nn?
Njomba Nchumali,Jua kali,Kipepe,Sokomoko,Lodilofa,
Pimbi migegedo yake ina buma
Hapana, yeye na vimbaumbau Betina mbalimbali, Zake heavy duties Zena and her Companies, ila kila dili lilikuwa linafail na hata kuambulia vipigo. Lilikuwa jarida mjarabu sana, kila mwisho WA mwezi, kulikuwa na mafunzo na tafsida ya vitu kuongelewa, tofauti na sasa tafsida ya Maneno imekuwa adimu
hivi aliwahi kweli kufanikiwa kugegeda?
Jamaa Walikuwa wana Tisha sana kwakweli
Siku hizi hawa watoto wa Instagram na Whatsapp kwa kutumiana video za amber rutty hawawezi kuelewa hizi na muona Profesa Ndumilakuwili jinsi gani anavyotaka kutapeli ila hizi katuni ziliburudisha , kuelimisha na kufurahisha.
sijasoma haya majarida mda
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom