Dalali Mkombozi
Member
- Jun 26, 2015
- 56
- 21
Naanza na Usemi usemao " Mwenye macho aambiwi tazama" Nina imani sote tuna macho na kwanjia moja au nyingine tumepata kujionea kile kinachofanywa na Raisi wetu Dr. John Pombe Magufuli
Licha ya kuhakikisha uchumi wetu unapanda lakini pia jitihada zake za kujenga taifa linalojitemea tunaziona ambacho ndicho kitu cha msingi zaidi katika mapambano zidi ya Ukoloni mamboleo.
Ametambua ili tuwe na uhuru kamili ni lazima tujitegemee, bila ya kujitegemea hatuwezi kuwa na uhuru kamili.
#HarakatiZaUkomboziWaUkoloniMamboleo
Licha ya kuhakikisha uchumi wetu unapanda lakini pia jitihada zake za kujenga taifa linalojitemea tunaziona ambacho ndicho kitu cha msingi zaidi katika mapambano zidi ya Ukoloni mamboleo.
Ametambua ili tuwe na uhuru kamili ni lazima tujitegemee, bila ya kujitegemea hatuwezi kuwa na uhuru kamili.
#HarakatiZaUkomboziWaUkoloniMamboleo