KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 864
Anna Makina amekuwa na maandalizi makubwa katika kuhakikisha anadhibiti upinzani Bungeni hasa kipindi hiki cha mswaada wa katiba ambapo maandalizi hayo yamewahusisha washirikina!!
Hatua ya kwanza baadaya ya kupata Usipika alisimikwa kama Chiefu kuimalisha kama mungu mke na masharti yake hatakiwi kuolewa au kukutana kimwili na watu wa size yake bali dogodogo!!
Anna makinda alisimikwa kinyume na maadaili ya ki-chief kwa Wabena ambapo mwanmke hana sifa ya kuongoza na siku hiyo viongozi wote wa dini walisusa wakidai ni Ushirikina!!!!
Pia amepeleka kondoo wawili kwa mganga aitwaye Babu Msomali anayeishi njombe karibiu na msikiti mkuu wa Njombe ambapo kondoo hao wanaishi kama watu mmoja anaitwa GEORGE na Mwingine anaitwa MICHAEL.
Kondoo hao wanaishi kama watu na wakati wa Bunge huwa kunakuwa na kazi kubwa ya kishirikina inafanyika
Pia Anna Makinda amepeleka kitabu chake cha Wasifu wa Bunge kwa Mganga huyo kwamalengo hayohayo!!
Kabla ya kuanza Bunge Anna Makinda alipeleka Nguo zote kwa Mganga huyo likiwemo Joho la Usipika ili kupata nguvu na Ujasili wa kupinga hoja za Upinzani ambazo zinajulikana kuwa na maslahi kwa Wanyonge!!!!
Hatua ya kwanza baadaya ya kupata Usipika alisimikwa kama Chiefu kuimalisha kama mungu mke na masharti yake hatakiwi kuolewa au kukutana kimwili na watu wa size yake bali dogodogo!!
Anna makinda alisimikwa kinyume na maadaili ya ki-chief kwa Wabena ambapo mwanmke hana sifa ya kuongoza na siku hiyo viongozi wote wa dini walisusa wakidai ni Ushirikina!!!!
Pia amepeleka kondoo wawili kwa mganga aitwaye Babu Msomali anayeishi njombe karibiu na msikiti mkuu wa Njombe ambapo kondoo hao wanaishi kama watu mmoja anaitwa GEORGE na Mwingine anaitwa MICHAEL.
Kondoo hao wanaishi kama watu na wakati wa Bunge huwa kunakuwa na kazi kubwa ya kishirikina inafanyika
Pia Anna Makinda amepeleka kitabu chake cha Wasifu wa Bunge kwa Mganga huyo kwamalengo hayohayo!!
Kabla ya kuanza Bunge Anna Makinda alipeleka Nguo zote kwa Mganga huyo likiwemo Joho la Usipika ili kupata nguvu na Ujasili wa kupinga hoja za Upinzani ambazo zinajulikana kuwa na maslahi kwa Wanyonge!!!!