Harakati bila mikatati na mbinu dhaifu za Dr Slaa

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,903
32,312
Wanabodi,

Baada ya kuja na mbinu za kisiasa tofauti tofauti hatimaye Dr Slaa, kaja na mbinu mpya ambayo ni harakati bila mikatati na mbinu dhaifu.

Dr Slaa sasa kaanza mkakati wa kutaka aonewe huruma na wananchi kutokana na kile anachokiita kufuatwafuatwa na vyombo vya dola kwa ni ya kutaka kumuua, inashangaza Dr Slaa kubadili mwelekeo wa siasa zake za kutaka nchi isitawalike na kuomba huruma kwa wananchi.

Neno kutaka kuniua ni zito sana ni jinai ndio maana mtu akitishiwa kuuwawa anakimbilia polisi kutoa taarifa na kupatiwa RB. Hakuna aliyeko juu ya sheria ambaye anaweza kumtishia kuua kiongozi kama Dr Slaa halafu akaachwa tu eti yeye ni usalama wa taifa.

Dr Slaa anasema hana imani na taasisi za dola, huyo huyo anayelilia kutaka kwenda Ikulu sasa akifika huko atafanya kazi na taasisi gani, Itakumbukwa mwaka 2010 Dr Slaa aliwangoza viongozi wa chama chake kupinga matokeo ya urais lakini wakikubali matokeo ya ubunge na udiwani. Alikuja na msamiati wa kuchakachuliwa kura zake bila ushaidi.

Dr Slaa kama hana imani na uongozi wa rais Kikwete ilikuaje yeye pamoja na viongozi wenzake kuwa watu wa kwanza kwenda Ikulu kuonana na rais Kikwete katika mchakato wa katiba...hivi Dr Slaa kweli hujui kwamba hii amani na utulivu tunayojivunia Watanzania tangu tupate uhuru wetu inatokana na uimara wa taasisi zetu za dola.
 
Hizi si tuhuma za kwanza za Dr Slaa kwa usalama wa taifa mwaka 2010 alisema usalama wa taifa kushirikiana na tume ya uchaguzi imeingiza makontena ya kura za bandia kutoka Afrika Kusini polisi walipoyakamata hayo makontena wakayafungua mbele ya viongozi wa Chadema na kubainika hayakuwa na kura bandia bali ni Vipodozi! Viongozi wa Chadema wakaonekana waongo na wazushi.
 
Wanabodi,

Baada ya kuja na mbinu za kisiasa tofauti tofauti hatimaye Dr Slaa, kaja na mbinu mpya ambayo ni harakati bila mikatati na mbinu dhaifu.

Dr Slaa sasa kaanza mkakati wa kutaka aonewe huruma na wananchi kutokana na kile anachokiita kufuatwafuatwa na vyombo vya dola kwa ni ya kutaka kumuua, inashangaza Dr Slaa kubadili mwelekeo wa siasa zake za kutaka nchi isitawalike na kuomba huruma kwa wananchi.

Neno kutaka kuniua ni zito sana ni jinai ndio maana mtu akitishiwa kuuwawa anakimbilia polisi kutoa taarifa na kupatiwa RB. Hakuna aliyeko juu ya sheria ambaye anaweza kumtishia kuua kiongozi kama Dr Slaa halafu akaachwa tu eti yeye ni usalama wa taifa.

Dr Slaa anasema hana imani na taasisi za dola, huyo huyo anayelilia kutaka kwenda Ikulu sasa akifika huko atafanya kazi na taasisi gani, Itakumbukwa mwaka 2010 Dr Slaa aliwangoza viongozi wa chama chake kupinga matokeo ya urais lakini wakikubali matokeo ya ubunge na udiwani. Alikuja na msamiati wa kuchakachuliwa kura zake bila ushaidi.

Dr Slaa kama hana imani na uongozi wa rais Kikwete ilikuaje yeye pamoja na viongozi wenzake kuwa watu wa kwanza kwenda Ikulu kuonana na rais Kikwete katika mchakato wa katiba...hivi Dr Slaa kweli hujui kwamba hii amani na utulivu tunayojivunia Watanzania tangu tupate uhuru wetu inatokana na uimara wa taasisi zetu za dola.

Andika "HARAKATI BILA MIKAKATI NA MBINU DHAIFU (HAFIFU) ZA MWIGULU MOSES NCHEMBA" ndiyo utaeleweka vizuri.
 
Hizi si tuhuma za kwanza za Dr Slaa kwa usalama wa taifa mwaka 2010 alisema usalama wa taifa kushirikiana na tume ya uchaguzi imeingiza makontena ya kura za bandia kutoka Afrika Kusini polisi walipoyakamata hayo makontena wakayafungua mbele ya viongozi wa Chadema na kubainika hayakuwa na kura bandia bali ni Vipodozi! Viongozi wa Chadema wakaonekana waongo na wazushi.

Kinachonichukiza na wakati mwingine kunifurahisha sana huwa huna jipya kabisa, huwa unanichukiza sana na kunifurahisha kidogo.
 
Hizi si tuhuma za kwanza za Dr Slaa kwa usalama wa taifa mwaka 2010 alisema usalama wa taifa kushirikiana na tume ya uchaguzi imeingiza makontena ya kura za bandia kutoka Afrika Kusini polisi walipoyakamata hayo makontena wakayafungua mbele ya viongozi wa Chadema na kubainika hayakuwa na kura bandia bali ni Vipodozi! Viongozi wa Chadema wakaonekana waongo na wazushi.

Unamzungumzia mwigulu nchemba???. Kama ni yeye ongezea na neno Muuaji.
 
hivi Dr Slaa kweli hujui kwamba hii amani na utulivu tunayojivunia Watanzania tangu tupate uhuru wetu inatokana na uimara wa taasisi zetu za dola.

inatokana na watu wa aina yako wanaoendesha maisha yao kwa kuwalisha sumu ya uwoga Watanzania ili waendelee kuitumbuwa nchi.
 
Pia mbinu chafu waliyotumia ni ya kumteka na kumtesa Dr. Ulimboka ili waichonganishe SERIKALI SIKIVU na Madakari na wananchi kwa upande mwingine. Ndiyo maana hawataki kuunda tume huru ya uchunguzi.
 
Hizi si tuhuma za kwanza za Dr Slaa kwa usalama wa taifa mwaka 2010 alisema usalama wa taifa kushirikiana na tume ya uchaguzi imeingiza makontena ya kura za bandia kutoka Afrika Kusini polisi walipoyakamata hayo makontena wakayafungua mbele ya viongozi wa Chadema na kubainika hayakuwa na kura bandia bali ni Vipodozi! Viongozi wa Chadema wakaonekana waongo na wazushi.

Hivi Ritz, kwasababu usalama unafanya kazi kwa kanuni na taratibu wake, tuambie, na wewe ni msemaji wa usalama wa Taifa? Tumeona siku hizi kuna mparanganyo mkubwa wa watu wanaotoa habari kwa niaba ya serikali. Just trying to understand....
 
wanabodi,

baada ya kuja na mbinu za kisiasa tofauti tofauti hatimaye dr slaa, kaja na mbinu mpya ambayo ni harakati bila mikatati na mbinu dhaifu.

Dr slaa sasa kaanza mkakati wa kutaka aonewe huruma na wananchi kutokana na kile anachokiita kufuatwafuatwa na vyombo vya dola kwa ni ya kutaka kumuua, inashangaza dr slaa kubadili mwelekeo wa siasa zake za kutaka nchi isitawalike na kuomba huruma kwa wananchi.

Neno kutaka kuniua ni zito sana ni jinai ndio maana mtu akitishiwa kuuwawa anakimbilia polisi kutoa taarifa na kupatiwa rb. Hakuna aliyeko juu ya sheria ambaye anaweza kumtishia kuua kiongozi kama dr slaa halafu akaachwa tu eti yeye ni usalama wa taifa.

Dr slaa anasema hana imani na taasisi za dola, huyo huyo anayelilia kutaka kwenda ikulu sasa akifika huko atafanya kazi na taasisi gani, itakumbukwa mwaka 2010 dr slaa aliwangoza viongozi wa chama chake kupinga matokeo ya urais lakini wakikubali matokeo ya ubunge na udiwani. Alikuja na msamiati wa kuchakachuliwa kura zake bila ushaidi.

Dr slaa kama hana imani na uongozi wa rais kikwete ilikuaje yeye pamoja na viongozi wenzake kuwa watu wa kwanza kwenda ikulu kuonana na rais kikwete katika mchakato wa katiba...hivi dr slaa kweli hujui kwamba hii amani na utulivu tunayojivunia watanzania tangu tupate uhuru wetu inatokana na uimara wa taasisi zetu za dola.

kwa sasa kange lugora mp,amemtaja kweka kua anasaidiana na majambazi kufanya ujambazi sasa amesema anaushaidi ebu subiri kama polisi watafanya cha maana kuhusu ili kwa kumfikisha kweka MAHAKAMANI kama ushaidi ni wa kweli au kumweka lugora kwa uzushI.
 
Wanabodi,

Baada ya kuja na mbinu za kisiasa tofauti tofauti hatimaye Dr Slaa, kaja na mbinu mpya ambayo ni harakati bila mikatati na mbinu dhaifu.

Dr Slaa sasa kaanza mkakati wa kutaka aonewe huruma na wananchi kutokana na kile anachokiita kufuatwafuatwa na vyombo vya dola kwa ni ya kutaka kumuua, inashangaza Dr Slaa kubadili mwelekeo wa siasa zake za kutaka nchi isitawalike na kuomba huruma kwa wananchi.

Neno kutaka kuniua ni zito sana ni jinai ndio maana mtu akitishiwa kuuwawa anakimbilia polisi kutoa taarifa na kupatiwa RB. Hakuna aliyeko juu ya sheria ambaye anaweza kumtishia kuua kiongozi kama Dr Slaa halafu akaachwa tu eti yeye ni usalama wa taifa.

Dr Slaa anasema hana imani na taasisi za dola, huyo huyo anayelilia kutaka kwenda Ikulu sasa akifika huko atafanya kazi na taasisi gani, Itakumbukwa mwaka 2010 Dr Slaa aliwangoza viongozi wa chama chake kupinga matokeo ya urais lakini wakikubali matokeo ya ubunge na udiwani. Alikuja na msamiati wa kuchakachuliwa kura zake bila ushaidi.

Dr Slaa kama hana imani na uongozi wa rais Kikwete ilikuaje yeye pamoja na viongozi wenzake kuwa watu wa kwanza kwenda Ikulu kuonana na rais Kikwete katika mchakato wa katiba...hivi Dr Slaa kweli hujui kwamba hii amani na utulivu tunayojivunia Watanzania tangu tupate uhuru wetu inatokana na uimara wa taasisi zetu za dola.

Mimi siku zote najiuliza , mtu akitaka nchi istawalike ana maana gani.
Kutotawalika ni kwa aina gani?
Tuna mifano kama Somalia na hivi karibuni kuna Syria.
Je huko ndiko CHADEMA ilikoelekeza macho yake? ili mradi tu wapate kutawala?

Aombaye gharika, na hana hata boti, asitegemee weledi wake wa kuogelea, atachukuliwa na maji tu.
 
Achana nao hao mkuu, hawana uwezo wa kufikiri!


Hawa wafuasi ni vilaza tupu'nashangaa wanajiita great thinker'kweli greath thinker anaendeshwa na ushabiki usio na maana,kila kitu CDM kiko sawa kwa asilimia mia moja,imekuwa Chama cha malaika hiki?
 
Back
Top Bottom