zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Leo ni Ya Ukimwi Duniani,Nawatakia kusherehekea Kwema Siku ya Leo.
Zawadi mtapeleka wenyewe..
Zawadi mtapeleka wenyewe..
Leo ni Ya Ukimwi Duniani,Nawatakia kusherehekea Kwema Siku ya Leo.
Zawadi mtapeleka wenyewe..
Kapimeni jamani..... Mimi tayari.
Hivi Bishanga ulishachukuaga yale majibu yako ?Tuhimizane zero grazing na la ikishindikana basi ndomu zitumike,vinginevyo tutapukutika kama mbegu za papai.
Ujumbe mahsusi kwa The secretary: tulizana kwa bishanga.
Hivi Bishanga ulishachukuaga yale majibu yako ?Tuhimizane zero grazing na la ikishindikana basi ndomu zitumike,vinginevyo tutapukutika kama mbegu za papai.
Ujumbe mahsusi kwa The secretary: tulizana kwa bishanga.
Nakusubiri tukachukue wote! Umesahau tulipima pamoja?Wewe ya kwako umechukua!?
Hivi siku ya ukimwi huwa inasherehekewa au ni siku ya huzuni?
HAPPY AIDS DAY!!!!??? you must be kidding pal!
HAPPY AIDS DAY!!!!??? you must be kidding pal!