Don san tan
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 562
- 433
Nachukua nafasi hii kuwatakia Waislamu wote Sikukuu njema ya Maulidi. Mwenyezi Mungu awabariki Sana. Naomba kwa neema zote na kwa nafasi mliyo nayo Mliombee Taifa letu liweze kusonga mbele na kuwa na Amani ya kudumu. Tumwombee pia Rais wetu na viongozi wengine wa Serikali waweze kutumia Busara pale inapobidi kuchukua Maamuzi magumu kwa Maendeleo ya nchi yetu pendwa.
Nawatakia Maulidi Njema.
Ahsante sana kwa kusoma.
Nawatakia Maulidi Njema.
Ahsante sana kwa kusoma.