Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,168
- 36,056
Dadii Duduke and Kasie Matata.
Jana jioni tulisemeshana, maneno tukapeana kisha tukaagana, wewe ukiingia masokoni kufanya manunuzi nami nikiingia jikoni kukaanga mihogo na prawns.
Nakumbuka uliniambia unapenda sana mihogo, nikakuahidi ukija ntakupikia kama unavyopendelea....
Hakika wajua kulijaza tabasamu langu usoni, wanifanya maneno ya Mahaba hayanikauki kichwani, tuu kwa ajili yako na kila uchao napata jina jipya la kukuita. (Duuduukee)
Ukaniacha nilale unono, asubuhi ukaamka nami, Dadii wewe ni mwanaume wa pekee kwangu. Najua baadhi ya memba humu JF wameshachoka kusoma habari zako mimi nikikusifia, kukuhusudu ila hilo si kitu kwangu. Ndo kwaanzaa mshawasha unakuwa mpya kila uchao na wala sitochoka kukuimbia na kucheza pia ahahahahaa. Ulinionesha madikodiko yako (barbercue) ya mlo wa jioni Dadii, na ukaniahidi siku nikija utaniandalia kama huo. Aahahahhaaa nilifurahia ulivyoniambia ...''you are ready to cheer me again...'' yuuuhuuuuuu aahahhahaaaaa Kasie is crazy you know she screams everywhere aahahahahahhaaaaaa mmuuuahhh!!
Dadii, najua wewe ni baba wa mtoto, nakukubali sana malezi yako sina lepe la hofu wala wasi utavyomlea mtoto wetu. Najua unahamu sana nikuzalie mtoto, this 2020 am ready Dadii, am ready to have that belly for you..... aahahahahaaaa (najua wengine watasema wee si kibibi, wee si umeshaanza menopozi ahahahaaa, msipaniki, ukiwa kwenye Mahaba umri unarudi chini hadi miaka 18 aahahahahahaaaa, yeah am crazy).
Ila saa ingine Dadii una masihara, kwahiyo ulisahau kama ulinipa yule mamba ukaanza kumtafuta umtinge aahahahahahaa, faaaakiiiiiii yuuuuuu mbioooo.
Well, nisemayo hapa najua utayasoma ukiamka, wanijua na wajua nini namaanisha Mahaba Matata na Kasie Matata.
Now on you are my Dadii Dudukee. I gave you what I have, everyday I dream of you, you always have a permanent place in my mind, I sing for you my Dadii Duuduukee, mmuuahh!!
Nakudediketia huu wimbo wa Simi - Duduke siku ya leo ya wababa Duniani, its me singing for you. Naisubiria kwa hamu siku utayokuja nikupokee kwa bashasha na upendo tele, ntakukumbatia, ntakubusu na kukupa madoido yangu yote. Haki sitaki usononeke ukiwa nami, nakuchungulia ujue ahahahahahaaa. Nakuombea kila mara uendelee kuwa baba bora, baba mlezi kwa watoto, best Dadii ever to Kasie only ahahahahaaa nna wivu jee.
Nikiwa nawe Dadii masaa huwa yanasimama kwa maana hamu haiishi, sichoki na wala sitaki tuagane.
Simi ananikumbusha wakati tunakutana na kufahamiana, kabla sijakufahamu nilikupenda Dadii, kwako sikuwa na hofu kuwa utanifanya ubaya. You are my full table Dadii, a self service buffet I ate anything I want whatever, whenever I feel like.....
Now that I know you, we can go anywhere. Now that I know I love you, you can have me everywhere. I know you are there, I really wanna give it to you, now that you know me very well, just be my controller, Kasie me Matata.
I wanna barbercue with you, and kiss you while we taste the salt n'pepper. I thank God I found you, if you..., if I .... I just wanna come over, spell jokes and roll over jam n'cheese ready to sandwich each other, much me, munch you aaammm, yummy 😋😋
Ukiamka utingishe mabega, shingo na magoti uchezee haka kawimbo ka Duduke.
Kasinde wa Dadiii Duduke.