NAKUOMBEA kheri afya mafanikio lakini zaidi nakuombea ufunguliwe katika Ban ya America mtani wangu
Heri Ya Siku Yako Adhiiim Baba KeaganView attachment 1358265
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekutumia pm hujaona?Kawa mkimya, hata huku online hayupo siku hizi,anyway happy birthday
Mbona kama alikua anasema mitano tenaHongera ziende kwa serikali awamu ya tano na rais magufuli kwa kufanikisha happy birthday ya bashite.