Happy Birthday to mie

Rohombaya

JF-Expert Member
Jul 4, 2011
13,055
10,337
Dah...Leo nimegonga mvua 70 na ushee...Nilipotoka ni mbali sana..niliyoyafanya ni machache sana ...ninapokwenda ni karibu lakini nina mengi ya kufanya...muda hautoshi...kichwa kinapata moto...Kitaeleweka tuu ...Dah :rolleyes::rolleyes::rolleyes:

upload_2016-12-1_9-15-40.jpeg
 
happy birthday kwako ila kwa umri huo ni vyema kuchongesha jeneza sasa mana ni kipindi cha mwishoni kwako hahahaaahaahaa!!!!!!!!
Dah..asante sana....sina mpango huo kwa sasa....ninajipanga kuongeza 70 nyingine :):)
 
mie siamini kama kweli umefikisha 70 japo sikukuzaa mie na wala sina cheti chako cha kuzaliwa wala kadi ya kliniki!
 
Dah....mwaka mwingine tena....bado mengi ya kufanya....kichwa kinapata moto....kitaeleweka tu
 
Dah....Bado nasonga mbele...nyuma mwiko...mwaka mwingine the umepita.....ninapotoka mbali...nimefanya machache sana...bado mengi yananisubiri...siku za kuishi zinazidi kupungua...I mean nazeeka...nitaota mvi....baadaye nitakuwa na wajukuu...wataniita Babu... Babu... Happy birthday and Long live kwangu... Dah
 
Back
Top Bottom