Happy Birthday To Me...!

Wahenga walishamaliza misemo yote ujue Shadeeya, kuna ule unaosema "chelewa chelewa utakuta mwana si wako"

Labda kama binam yako kakuwekea

Ila pia wahenga hao hao wanasema zimwi likujualo halikuli likakwisha lazma litabakiza sehemu kwa niaba ya.

Kwa hiyo wala asijali kuhusu hilo Nam.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom