Jerlamarel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2021
- 843
- 2,517
Baba yake alikuwa Brigedia Jenerali tena mshauri wa Rais masuala ya siasa.
Yeye akasoma Mzumbe na masomo ya juu zaidi India. Akawa mkuu wa Wilaya, katibu itikadi na Uenezi CCM kisha akawa Mbunge na Waziri.
Mzee wa goli la mkono, leo ametimiza umri wa miaka 44.
Yeye akasoma Mzumbe na masomo ya juu zaidi India. Akawa mkuu wa Wilaya, katibu itikadi na Uenezi CCM kisha akawa Mbunge na Waziri.
Mzee wa goli la mkono, leo ametimiza umri wa miaka 44.