Naisujaki Lekangai
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 1,340
- 1,377
Mbowe kasifiwa kwa kuacha mali na uhondo na kufuata siasa za upinzani zisizokuwa na kipato. Sasa Mbowe ajibu nini hapo?Umenukuu kwa haraka maneno ya meya Jacob.Au unakimbilia Dodoma kuwahi sherehe za uhuru?Haya MBOWE jibu swali hilo uliloulizwa na meya wako.