Happy birthday Mtume na nabii wa mwisho wa Soka Saint Gaucho

Hatakuja kutokea dunia hi kama dinho na garrincha.
Hatakuja kutokea dunia hi kama dinho na garrincha.

Ukiulizwa ulimuona? suruali itakivuka...
Wacha kukurupuka, matendo anayofanya Dinho Mnyama hakuna aliewahi kuyafanya, Ingia Youtube kisha andika Ronaldinho Skills kisha ukimaliza kutazama matendo hayo ya mtume andika Garincha skills uone matendo ya kibinadamu ambayo hata Dagui Bakari au hata Chadwick anayafanya
 
Ukiachana na WC mimi sioni kingine Gaucho anachomzid Messi.
Gaucho ana mbwembwe sana, ila Messi the way anavyodribble ni burudani tosha kabisa sababu hata Gaucho hadrible kama Messi kwa mimi nionavyo.
Harafu Messi anazile chenga zake za kukutisha kama anaenda kushoto au kulia, ukienda upande huu yeye anaenda upande huu.

Hizo chenga hata Mwaikimba anapiga...hah hah hah Kastahafu hana World Cup wala Copa America...

Na kodi amekwepa
 
Asi katika uhai wako wa kufundisha usingebeba World Cup wala Copa America...
Ungeishia kumbwela mbwela tu na kushangilia tuzo za huyo mstahafu wenu, tuzo ambazo huzitolei jasho
 
Ukiulizwa ulimuona? suruali itakivuka...
Wacha kukurupuka, matendo anayofanya Dinho Mnyama hakuna aliewahi kuyafanya, Ingia Youtube kisha andika Ronaldinho Skills kisha ukimaliza kutazama matendo hayo ya mtume andika Garincha skills uone matendo ya kibinadamu ambayo hata Dagui Bakari au hata Chadwick anayafanya

:Dhahahaa wewe ni waajabu sana na huyo gaucho wako, tukimweka King (MESSI) pembeni..then tuje kwa Diego Armando..huyo mrukaruka wako same Cr7 kuna alichomzidi DIEGO MARADONA???

Ukienda kwenye best goals ever gaucho hagusi pale, Dribbling,pass,Skills nk ndio usiseme.


Playing style Edit

See also: Creole football
"Diego was capable of things no one else could match. The things I could do with a football, he could do with an orange."

—Michel Platini, former French midfielder and UEFA President.[83]
"Even if I played for a million years, I'd never come close to Maradona. Not that I'd want to anyway. He's the greatest there's ever been."

—Lionel Messi, [84]
"When Diego scored that second goal against us, I felt like applauding. I'd never felt like that before, but it's true... and not just because it was such an important game. It was impossible to score such a beautiful goal. He's the greatest player of all time, by a long way. A genuine phenomenon."

—Gary Lineker, England's 1986 World Cup striker on Maradona's Goal of the Century.[83]
A classic number 10, Maradona was renowned for his dribbling ability, vision, close ball control, passing and creativity, and is considered one of the most skillful players ever.[78][85][86] He had a compact physique, and with his strong legs and low center of gravity he could withstand physical pressure well while running with the ball.[87] Dutch legend Johan Cruyff saw similarities between Maradona and Lionel Messi with the ball seemingly attached to their body when dribbling.[88] His physical strengths were illustrated by his two goals against Belgium in the 1986 World Cup. He was a strategist and a team player, as well as highly technical with the ball. He could manage himself effectively in limited spaces, and would attract defenders only to quickly dash out of the melee (as in the second 1986-goal against England),[89] or give an assist to a free teammate. Being short, but strong, he could hold the ball long enough with a defender on his back to wait for a teammate making a run or to find a gap for a quick shot. He showed leadership qualities on the field and captained Argentina in their World Cup campaigns of 1986, 1990 and 1994.[90][91][92]

One of Maradona's trademark moves was dribbling full-speed on the right wing, and on reaching the opponent's goal line, delivering accurate passes to his teammates. Another trademark was the rabona, a reverse-cross pass shot behind the leg that holds all the weight.[93] This maneuver led to several assists, such as the powerful cross for Ramón Díaz's header in the 1980 friendly against Switzerland.[94] He was also a dangerous free kick and penalty kick taker.[95][96]

Maradona was famous for his cunning personality.[97] Inherent within his nickname "El Pibe de Oro" ("Golden Boy") is a sense of mischief, with "pibe" being an anti-establishment rogue, street smart and full of guile.[13] Some critics view his controversial "Hand of God" goal at the 1986 World Cup as a clever maneuver, with one of the opposition players, Glenn Hoddle, admitting that Maradona had disguised it cunningly in flicking his head at the same time as palming the ball.[98] The goal itself has been viewed as an embodiment of the Buenos Aires shanty town Maradona was brought up in and its concept of viveza criolla — "native cunning".[99] Maradona used his hand in the 1990 World Cup, again without punishment, and this time on his own goal line, to prevent the Soviet Union from scoring.[100] A number of publications have referred to Maradona as the Artful Dodger, the urchin pickpocket expert from Charles Dickens' Oliver Twist.[101][102][103][104]

Maradona was dominantly left-footed, often using his left foot even when the ball was positioned more suitably for a right-footed connection.[105] His first goal against Belgium in the 1986 World Cup semi-final is a worthy indicator of such; he had run into the inside right channel to receive a pass but let the ball travel across to his left foot, requiring more technical ability. During his run past several England players in the previous round for the "Goal of the Century" he did not use his right foot once, despite spending the whole movement on the right-hand side of the pitch. In the 1990 World Cup second round tie against Brazil, he did use his right foot to set up the winning goal for Claudio Caniggia due to two Brazilian markers forcing him into a position that made use of his left foot less practical.[106]

Huyo ndiye the "Genuine Phenomenon"Diego Armando Maradona...achana na huyo gaucho wako hagusi hata kwa Zizo,

Washauri kwa uzuri na wenzako kuhusu king Messi na King Maradona wafuatilie youtube wawajuwe vizuri, wasipende kuangalia majina tu ya wachezaji kama unavyofanya wewe mkuu.
 
Respect
Mtume na nabii


[HASHTAG]#Legend[/HASHTAG]
We as CATALANS supporter of FC BARCELONA We do recognize THE KING HIMSELF LIONEL MESSI as ICON of Our Club, although to some extent we do appreciate what GAUCHO did to our Club.
 
Naaam halafu mjue Nabii Gaucho karudi Nyumbani camp nou kama balozi.. Natamani enzi zingerudi, enzi zile Gaucho anapewa mpira mpaka mtangazaji anasahau kutangaza kwa sababu ya kukosekana coordination kati ya macho na mdomo inambidi aangalie gaucho anafanya nini! them days bana
 
We as CATALANS supporter of FC BARCELONA We do recognize THE KING HIMSELF LIONEL MESSI as ICON of Our Club, although to some extent we do appreciate what GAUCHO did to our Club.
you sound like you didnt know
Prophet Gaucho

[HASHTAG]#Thebest[/HASHTAG]
 
Nabiii wa mwisho kivipi?

Unamjua El phenomenon wewe muanzisha thread na wenzako wenye mtazamo kama wako?

Huyo Gaucho hana hata Campeanato Brasileiro alafu mnampa utukufu kiasi hicho shenzi sana wabrazil wakiwaskia watawapigeni makofi.
 
Gaucho ni mchezaji aisee mimi Real Madrid huyu jamaa nilitokea kumchukia sana kwa uwezo wake mkubwa wa kutufunga na kuwaada mabeki anavyotaka sintoisahau mechi ya Barc na Ac Milan Nou jinsi alivyopiga chenga moja mabeki mahiri wanne Nesta,Cafu,Maldin na kukutana uso kwa uso na Dida alipiga shoot lilipofika golini liliongezeka kimo Dida aliruka wapi na Enzi hizo ndio Dida kweli alishangaa nyavu zinacheza Ac nje sio sasa hivi barc inapita kwa zengwe la marefa...
 
Heri ya kuzaliwa Ronaldo de Assis Moreirra.

Kuzaliwa kwako ndiko kulisababisha mchezo wa Soka kupendwa zaidi ulimwenguni.
 
Gaucho ni mchezaji aisee mimi Real Madrid huyu jamaa nilitokea kumchukia sana kwa uwezo wake mkubwa wa kutufunga na kuwaada mabeki anavyotaka sintoisahau mechi ya Barc na Ac Milan Nou jinsi alivyopiga chenga moja mabeki mahiri wanne Nesta,Cafu,Maldin na kukutana uso kwa uso na Dida alipiga shoot lilipofika golini liliongezeka kimo Dida aliruka wapi na Enzi hizo ndio Dida kweli alishangaa nyavu zinacheza Ac nje sio sasa hivi barc inapita kwa zengwe la marefa...

Doh Baba umetaja mpaka mitume wengine...hebu ishia kwenye kusifia tu
 
Nabiii wa mwisho kivipi?

Unamjua El phenomenon wewe muanzisha thread na wenzako wenye mtazamo kama wako?

Huyo Gaucho hana hata Campeanato Brasileiro alafu mnampa utukufu kiasi hicho shenzi sana wabrazil wakiwaskia watawapigeni makofi.

Haya Bashite umesomeka
 
Back
Top Bottom