Swahilian
JF-Expert Member
- Apr 28, 2009
- 591
- 66
she is hot always
she is hot always
Kuna pic amepiga kikahaba nilileta humu he he he utetezi wao ilikuwa eti zari hana tako kubwa la ivo pic imeeditiwa, pic inaonyesha kabisa akiwa yupo kwenye ukahaba lkn Bado watu wanapindiiiisha, zari ni kahaba mzee wakatae wakubali
Huyu mwanamke ni mrembo jamani sifa zake tumpe lol. Watoto wat5 yupo hivyo wakati wengine mtoto mmoja tuu anakua kama simtank furushi sura haionekani. Oohh ghosh acha chibudee azimikie asee
Sura ya Zari haina furaha kabisa,yani Moyo wake umejikunja kabisa...ila kwa vile anapenda maisha ya kulisha ndimu hana budi kwenda na flow.
Alienda kwa magoti mbona kawai Sana?Sio madale ni South Africa huko mzee.....rekebisha heading na main body.
Mh sifa na utukufu ziende kwa Muunba
Kwa kuumba nafsi za kusamehe fasta HV
Mi siwezi aseee.........cjui nafs yng itakuwa iliumbwa na udongo toka jangwani
Weeee muonja asali aonji Mara moja tuwaachie mwenyewe mambo yaodiamond amekiri kuwa kashaacha uhusiano wa mapenzi na mobeto sasa hizi ni wazazi tyuuuuuu, last interview
Tema mate chini we Dada eti bila zari wangeendelea kuchoropoa we kama ulichoropoa usidhani na wote walifanya hivyo...naona zari unamwabudu Haswa hadi unadiriki kusema eti bila yeye who is she bythewayLeta,halafu mmekazania zari kujisugua kwa maplastic wakati wenginee wanajisugua hata kwa matango na ndizi aiseeee,watu wanasagana na kukoboana sembuse dildo,wimbo wenu umepitwa na wakati
Tukiwa upande wa zari oohoo mnamshobokea zari,mlitaka tumshobokee nani sasa. Bila zari wasichana wengi wa kibongo wangeendelea kuchoropoa mimba,bila zari insta kusingekua na accounts za watoto wa madada wa kibongo
ACHENI ZARI AITWE ZARI BANA
Mbona hata hawakugombana!Wagombanao ndo wapatanao na
Mapenz hayaingiliwi
Haaaaaaà haaaaHata wema hajaacha kumla ujue
Bila drama deals haziji.Sura ya Zari haina furaha kabisa,yani Moyo wake umejikunja kabisa...ila kwa vile anapenda maisha ya kulisha ndimu hana budi kwenda na flow.
Amemnyoosha kimtindo.Alafu bibie bila wigi nikituko hapo alikua anaonea camera aibu. Hahaha anavyipenda camera hatujaona wakilambana lambana shikamo hamisa