Duuh kumbe we EmmyHeri ya kuzaliwa rafiki. Allah akupe maisha marefu yenye kila la kheri.
Siku zote Emmy penda sana veve.
Kwa hiyo na Leo sio birthday yako? Nitaamini siku tukionana...Niseme tu usiamini kila tunachoandika humu au mitandaoni mingine mpaka uwe na ukaribu na kumjua huyo memba ile ya face to face yani nje ya jf katika uhalisia wake. Nyuma ya keyboard Kuna uongo na ufeki mwingi sana.
Married na smart au??Yes am married na nina two kids.
Dogo unaaanza ugomviZile 2-3 anniversaries na smart zilikuwa ni kabla ama baada ya ndoa yako ya sasa?
BTW happy birthday my dia
Una umri gani leo Mahondaw kipenz??Hello guys!
Nawashukuru wanajf wote walio pamoja nami katika lolote liwe zuri liwe baya mungu awabariki wapendwa. Pia nawale wote walioikomaza akili yangu positively or negatively shukrani sana. Bila kuwasahau wafukua makaburi seriously huwa mnanihahahaha na kuniremind sometimes. Sambamba na wachochea kuni wote tupo pamoja mazee nyie pia kheri iwe nanyi.
Karibuni mnipikie mniimbie mniswalike mnichekeshe na kunizawadia pia.
Warmly welcome
Mmmh emmyHeri ya kuzaliwa rafiki. Allah akupe maisha marefu yenye kila la kheri.
Siku zote Emmy penda sana veve.
Kwahiyo ile mihela iliyokuwa inapostiwa humu kipindi kile ilikuwa ni kamba?Niseme tu usiamini kila tunachoandika humu au mitandaoni mingine mpaka uwe na ukaribu na kumjua huyo memba ile ya face to face yani nje ya jf katika uhalisia wake. Nyuma ya keyboard Kuna uongo na ufeki mwingi sana.