Happy birthday mahondaw. Mwenye swali kuhusu mimi

Status
Not open for further replies.
Hello guys!

Nawashukuru wanajf wote walio pamoja nami katika lolote liwe zuri liwe baya mungu awabariki wapendwa. Pia nawale wote walioikomaza akili yangu positively or negatively shukrani sana. Bila kuwasahau wafukua makaburi seriously huwa mnanihahahaha na kuniremind sometimes. Sambamba na wachochea kuni wote tupo pamoja mazee nyie pia kheri iwe nanyi.

Karibuni mnipikie mniimbie mniswalike mnichekeshe na kunizawadia pia.

Warmly welcome
Una umri gani leo Mahondaw kipenz??
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom