Happy Birthday Komredi Edward Moringe Sokoine (01/08/1938-12/04/1984)

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
561482_419895221389529_204105510_n.jpg
 
June 19,1978: Defence Minister Edward Moringe Sokoine (right) Opens OAU Liberation Committee in Dar es Salaam(Daily News Archives)
 
RIP watanzania bado tunakukumbuka!! Shujaa wetu kama ungeweza kurudi leo nahisi usingeamini kwa kile kinachoendelea!!
 
nikikumbuka vifo vya watu kama hawa ndio nakumbuka pindi nchi yetu ilipoanza kuzama kwenye bahari ya nungwi.rip
 
Hawa Wakuu wangekuwa na uwezo wa kurudi leo Tanzania hii hakika hawaitaka tena kama Nchi yao na bila shaka watatamani warudi huko huko walipo!




Popote mlipo! Mkalale kwa AMANI yake Bwana wetu YESU KISRTO na Bwana atawafufua siku ya mwisho.
 
Hata kama kuna baadhi ya watu hawaoni umuhimu wa Sokoine lakini ukweli utabakia palepale kuwa alikuwa ni mmoja wa viongozi wachache sana ambao waliweza kusimama katika kile walichohubiri.Mfano mdogo ni pale alipotangaza vita dhidi ya wahujumu uchumi kuna watu ambao walitupa masanduku yaliyojaa fedha sababu tu hawakuwa na maelezo ya kutosha kuelezea jinsi fedha hizo zilivyopatikana.Na sio sasa hivi ambapo kiongozi anatangaza vita dhidi ya umasikini wakati yeye ndio kinara wa kuwahujumu wananchi wake.RIP Edward Moringe Sokoine,the true son of Tanzania na taa iliyozimika wakati bado inahitajika..
 
Goon too early; Rest In Peace Edward Moringe Sokoine.
 
Back
Top Bottom