BornTown
JF-Expert Member
- May 7, 2008
- 1,716
- 481
Leo ni siku yangu ya kuzaliwa natamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipa uzima hadi leo hii na pia nawashukuru Wazazi wangu kwa kunilea vyema hadi leo,Asanteni wazazi wangu.
Nawatakia Birthday Njema wanajamvi wenzangu wanaokumbuka siku ya kuzaliwa kwao leo!
Nawatakia Birthday Njema wanajamvi wenzangu wanaokumbuka siku ya kuzaliwa kwao leo!