- Thread starter
- #361
Yani watu mlivo na uchu wa kuonesha kile mnacho kiamin mmeshindwa hata kupiga picha hayo makanur 60 najua huu ni usanii
Sent using Jamii Forums mobile app
Yapo zaidi ya 60 huwezi kupiga picha maana wale wajimbaji wa jiji wamechanganywa na nyoka sasa jichanganye umdhalau sababu kachoka utajuta
Kila siku.wanazika sio chin.ya kumi na wanaanza kuzika saa 1jioni