Nzuguni one
JF-Expert Member
- Dec 23, 2019
- 1,153
- 474
Tumekusoma mkuu
Mkuu siasa uchwara zinazofanywa na CCM mpya zimeharibu vijana wetu sana.Ila Mungu ni mwema kwa kuwa nao wapo nchi hii na kwa kuwa corona haichagui ,acha tuone .Mungu yupo kaziniManeno gani haya wana jamii forum,ebu tuweni na nadhari na kujali hisia za wengine,
Huyu member ameelezea alichokiona na kilicho mkuta kama mfiwa,wewe unampa majibu haya ya kindava undava.Utu uko wapi.
Tuweni waangalifu,
Alikusudia kututanabahisha ukweli wa korona kuwa inapukutisha watu,na wenye mamlaka wanatuficha kitu.
Sasa wewe umeshikilia picha ,picha.
Huamini Tomaso?
Kuweni na Moyo wa kuwaamini watu na kuacha kebehi,Corona Haina Macho inapenya kila mahali
Its Air born desease.
Right... and this is a sign of a bigger problem in the society.Maneno gani haya wana jamii forum,ebu tuweni na nadhari na kujali hisia za wengine,
Huyu member ameelezea alichokiona na kilicho mkuta kama mfiwa,wewe unampa majibu haya ya kindava undava.Utu uko wapi.
Tuweni waangalifu,
Alikusudia kututanabahisha ukweli wa korona kuwa inapukutisha watu,na wenye mamlaka wanatuficha kitu.
Sasa wewe umeshikilia picha ,picha.
Huamini Tomaso?
Kuweni na Moyo wa kuwaamini watu na kuacha kebehi,Corona Haina Macho inapenya kila mahali
Its Air born desease.
Toeni data kamili ili raia wajue ukubwa wa tatizo.Ina maana mpaka leo hujaambiwa na serikali kuwa kuna ugonjwa wa korona na unaua? Matangazobya jinsi ya kuchukua tahadhari kila mahali mbona yako? Hukumuona waziri mkuu akiutangaza rasmi?
Labda una la ziada la kwako ila suala la kuficha ugonjwa serikali haijaficha na hata wanaofiwa wanashirikishwa japp kwa kiasi kidogo kama tahadhari...
Anazua taharuki ili iweje, kwani angezika kimya kimya angepungukiwa nini?, pia kajuaje hao si ndugu wa marehemu mmoja hadi aseme 10?Maneno gani haya wana jamii forum,ebu tuweni na nadhari na kujali hisia za wengine,
Huyu member ameelezea alichokiona na kilicho mkuta kama mfiwa,wewe unampa majibu haya ya kindava undava.Utu uko wapi.
Tuweni waangalifu,
Alikusudia kututanabahisha ukweli wa korona kuwa inapukutisha watu,na wenye mamlaka wanatuficha kitu.
Sasa wewe umeshikilia picha ,picha.
Huamini Tomaso?
Kuweni na Moyo wa kuwaamini watu na kuacha kebehi,Corona Haina Macho inapenya kila mahali
Its Air born desease.
Ili ufanyeje, uchanganyikiwe na kupaniki? Wewe unachotakiwa kujua ni ugonjwa upo na chukua tahadhari, basi.Toeni data kamili ili raia wajue ukubwa wa tatizo.
Anazua taharuki ili iweje, kwani angezika kimya kimya angepungukiwa nini?, pia kajuaje hao si ndugu wa marehemu mmoja hadi aseme 10?
Kama mpaka sasa hujajua ukubwa wa tatizo, hustahili kuambiwa lolote. Ujinga wako ni mzigo wako. Yaani kila tv kila media si tanzania si sehemu zingine za dunia habari ni balaa la korona wewe unasema hujajua ukubwa wake! Mimi nashauri serikali iendelee hivi hivi ili majinga yaendelee kuwa majinga!Toeni data kamili ili raia wajue ukubwa wa tatizo.
Wewe ni punguwan total kama unabisha muulize aliyekuzaaHivi unajua je kuwa hao waliokufa na kuzikwa huko ni TOFAUTI NA WALE AMBAO SERIKALI IMEWATOLEA MAELEZO?
Sent using Jamii Forums mobile app
Usimtumie nduguni-inbox namba yako ya WhatsApp boss nikupe hizo video na pics unazotaka
duh..hatari sana