Mkuu umegusa mengi kati ya yaliyo kichwani mwangu; naamini kuna watakaogusa zaidi... Picha hii inajenga mengi vichwani!Duh, hii picha inasema mambo mengi!!
1. Kuna wanaume wawili wanatuonesha chupi zao, hapo suruali ikimshuka mmoja zaidi inabidi ategee wenzake apandishe kwanza
2. Abiria bado wamo ndani ya gari!! Kuna kipepsi cha mtu kimechomoza dirishani
3. Hili basi linauzwa, kuna tangazo hapo kwenye kioo cha nyuma. Nadhani mwenyewe alishashtukizia ubovu
4. Mmoja tu kati ya hao wanaosukuma gari ndiye anayeonekana walau msafi, labda ni mmoja wapo wa abiria, hao wengine ni utingo, kondakta, mpiga debe nk
Picha hii inaonyesha ni jinsi gani polisi wa usalama barabarani wanavyozembea na kuacha magari yasiyonasifa ya kubeba abiria kuendelea kuhatarisha usalama wa wananchi na mali zao.
Duh, hii picha inasema mambo mengi!!
4. Mmoja tu kati ya hao wanaosukuma gari ndiye anayeonekana walau msafi, labda ni mmoja wapo wa abiria, hao wengine ni utingo, kondakta, mpiga debe nk
Duh, hii picha inasema mambo mengi!!
1. Kuna wanaume wawili wanatuonesha chupi zao, hapo suruali ikimshuka mmoja zaidi inabidi ategee wenzake apandishe kwanza
2. Abiria bado wamo ndani ya gari!! Kuna kipepsi cha mtu kimechomoza dirishani
3. Hili basi linauzwa, kuna tangazo hapo kwenye kioo cha nyuma. Nadhani mwenyewe alishashtukizia ubovu
4. Mmoja tu kati ya hao wanaosukuma gari ndiye anayeonekana walau msafi, labda ni mmoja wapo wa abiria, hao wengine ni utingo, kondakta, mpiga debe nk
Kinachonishangaza pia ni kua mbona abiria hawashuki ili uzito upungue wakati wa kusukuma hilo gari?
Yaani watu wanne wanasukuma gari lenye tani kibao na watu juu?...kipepsi unakiona hapo dirishani!...Jamaa hata hana habari na dhiki wanayopata wanaosukuma gari.
Waliomo ndani pia need to be called out for their lack of compassion....ama ndivyo tulivyo?
We simply dont care!
Ukiangalia picha kwa haraka kuna vitu ni vigumu kuviona!
Mfano: