Hapo vipi?

Invisible

Robot
Feb 11, 2006
9,075
7,878
1828ao.jpg
 
Duh, hii picha inasema mambo mengi!!

1. Kuna wanaume wawili wanatuonesha chupi zao, hapo suruali ikimshuka mmoja zaidi inabidi ategee wenzake apandishe kwanza

2. Abiria bado wamo ndani ya gari!! Kuna kipepsi cha mtu kimechomoza dirishani

3. Hili basi linauzwa, kuna tangazo hapo kwenye kioo cha nyuma. Nadhani mwenyewe alishashtukizia ubovu

4. Mmoja tu kati ya hao wanaosukuma gari ndiye anayeonekana walau msafi, labda ni mmoja wapo wa abiria, hao wengine ni utingo, kondakta, mpiga debe nk
 
Duh, hii picha inasema mambo mengi!!

1. Kuna wanaume wawili wanatuonesha chupi zao, hapo suruali ikimshuka mmoja zaidi inabidi ategee wenzake apandishe kwanza

2. Abiria bado wamo ndani ya gari!! Kuna kipepsi cha mtu kimechomoza dirishani

3. Hili basi linauzwa, kuna tangazo hapo kwenye kioo cha nyuma. Nadhani mwenyewe alishashtukizia ubovu

4. Mmoja tu kati ya hao wanaosukuma gari ndiye anayeonekana walau msafi, labda ni mmoja wapo wa abiria, hao wengine ni utingo, kondakta, mpiga debe nk
Mkuu umegusa mengi kati ya yaliyo kichwani mwangu; naamini kuna watakaogusa zaidi... Picha hii inajenga mengi vichwani!
 
Picha inaonesha jinsi CCM na serikali yake ilivyofanikiwa kuweka maisha bora kwa kila mtanzania toka Kiwete aingie madarakani!!
 
Picha hii inaonyesha ni jinsi gani polisi wa usalama barabarani wanavyozembea na kuacha magari yasiyonasifa ya kubeba abiria kuendelea kuhatarisha usalama wa wananchi na mali zao.
 
Picha hii inaonyesha ni jinsi gani polisi wa usalama barabarani wanavyozembea na kuacha magari yasiyonasifa ya kubeba abiria kuendelea kuhatarisha usalama wa wananchi na mali zao.


AK 47 umesahau ule usemi usemao "mazoea hujenga tabia"?
 
Duh, hii picha inasema mambo mengi!!

4. Mmoja tu kati ya hao wanaosukuma gari ndiye anayeonekana walau msafi, labda ni mmoja wapo wa abiria, hao wengine ni utingo, kondakta, mpiga debe nk

Bila shaka huyo aliyeko katikati (wa pili kutoka kulia, mwenye Tshirt ya blue) ndie konda. Si uancheki ameshikilia ankra mkono wa kushoto?
 
Wanafanya makusudi! Wanafanya makusudiiii! Kuacha magari mabovu njiani. Serikali ya mkwere!
 
  1. yawezekana kabisa gari lilimetoka gereji na dereva akaamua kusanya wakati wa kufanyia majaribio.
  2. staili inayotumika kusukuma inaonyesha ni kana kwamba jamaaa wametumia muda mrefu kulikwamua lakini mashine haiendi..hapo wanatafuta tu sehemu ya kuipaki.
  3. Kila mmoja ni kama anahisia za mbali sana kwani wote wainamisha vichwa chini. Lakini kwa upande wa Konda sina shaka anafikiria jinsi gani biashara ya siku ilivyobuma na uwezekano mkubwa wa kurejesha mafao ya abiria.
  4. Huyo jaamaa wa kwanza kushoto yaonyesha ni mtanashati na anapenda kuchomeka kwa staili ya kipapaaa, (shati ndani ya kufuli kisha unapiga, short na suluali juu). Shati ikivuta juu kama hivi, inavuta na mambo yote ya ndani na kuweka hadharani.
  5. Kwa kuwa wanafunzi upenda kupanda DCM, na hapa haonekani kuwepo student kwenye kutoa tafu, ni kiashirio pia kuwa hilo daladala ni yale ambayo madereva wake hawataki kubeba wanafunzi kama sio yanayokatiza katiza rutis kwa kukwepa wanafunzi.
  6. Kwa kuwa bado kuna watu ndani ya gari wakati wengine wanahangaika, inaonyesha ni jinsi gani viumbe wengine wanavyopenda starehe hata kwenye matatizo hasa wa jinsia ya upande wa pili ambayo haipo kwenye safu.
 

Kinachonishangaza pia ni kua mbona abiria hawashuki ili uzito upungue wakati wa kusukuma hilo gari?
Yaani watu wanne wanasukuma gari lenye tani kibao na watu juu?...kipepsi unakiona hapo dirishani!...Jamaa hata hana habari na dhiki wanayopata wanaosukuma gari.

Waliomo ndani pia need to be called out for their lack of compassion....ama ndivyo tulivyo?
We simply dont care!
 
Duh, hii picha inasema mambo mengi!!

1. Kuna wanaume wawili wanatuonesha chupi zao, hapo suruali ikimshuka mmoja zaidi inabidi ategee wenzake apandishe kwanza

2. Abiria bado wamo ndani ya gari!! Kuna kipepsi cha mtu kimechomoza dirishani

3. Hili basi linauzwa, kuna tangazo hapo kwenye kioo cha nyuma. Nadhani mwenyewe alishashtukizia ubovu

4. Mmoja tu kati ya hao wanaosukuma gari ndiye anayeonekana walau msafi, labda ni mmoja wapo wa abiria, hao wengine ni utingo, kondakta, mpiga debe nk

Duh!...nilikua sijaona hio 'for sale' sign. Kweli mwenye gari anajua lishachoka....Hii ndio ile unasikia "Buyer beware".
 
Kinachonishangaza pia ni kua mbona abiria hawashuki ili uzito upungue wakati wa kusukuma hilo gari?
Yaani watu wanne wanasukuma gari lenye tani kibao na watu juu?...kipepsi unakiona hapo dirishani!...Jamaa hata hana habari na dhiki wanayopata wanaosukuma gari.

Waliomo ndani pia need to be called out for their lack of compassion....ama ndivyo tulivyo?
We simply dont care!

Umesahau mteja ni mfalme, kibaya zaidi abiria wana hasira na makonda kwa lugha chafu na jeuri, wametuli tuli kieleweke kitu.
 
halafu huyo wa kwanza kulia anategea tehe tehe. waangalia tu ushuzi usiwatoke. ha ha ha
 
Ukiangalia picha kwa haraka kuna vitu ni vigumu kuviona!

Mfano:

weird_signs_5.jpg


kuna mjamaa juu ya ukuta anataka kurudishia kitambaa kilichoanguka wakati hakuna mtu wa kumpa hicho kitambaa.
Ngazi mbili nyekundu na nyingine kulia kwake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom