Mwendabure
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,138
- 1,040
Balungwana Kwema?
Huku kwetu Wilaya mpya ya Mbagala Tanesco wamechukua umeme wao tangu saa 10 jioni, baada ya kutuzuga na umeme wa sikukuu ya Idd. Je hapo ulipo bado umeme upo? Tujuzane ili tulie wote msiba huu usiokwisha.
Karibu!
Huku kwetu Wilaya mpya ya Mbagala Tanesco wamechukua umeme wao tangu saa 10 jioni, baada ya kutuzuga na umeme wa sikukuu ya Idd. Je hapo ulipo bado umeme upo? Tujuzane ili tulie wote msiba huu usiokwisha.
Karibu!