kagoshima
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 2,629
- 5,134
Hawajakamata wala kumwita UVCCM yeyote alotoa maneno ya uchechezi wa mauwaji kuanzia mwenyekiti wao UVCCM na wengineo kwenye lower ranks.
Ingekuwa hizo kauli zimetolewa na vijana au wabunge wa upinzani wangeisha dakwa siku nyingi na kuoneshwa oneshwa mbele ya makamera huku msajili wa vyama akitoa makaripio na vitisho vya kufuta chama husika.
Serikali ya CCM wanaendesha inchi kama makaburu. Jeshi la polis linabagua likamate yupi , limwogope yupi kwakosa hilohilo. Kwanini wasichukiwe. Hata jeshi la makaburu lilichukiwa
Ingekuwa hizo kauli zimetolewa na vijana au wabunge wa upinzani wangeisha dakwa siku nyingi na kuoneshwa oneshwa mbele ya makamera huku msajili wa vyama akitoa makaripio na vitisho vya kufuta chama husika.
Serikali ya CCM wanaendesha inchi kama makaburu. Jeshi la polis linabagua likamate yupi , limwogope yupi kwakosa hilohilo. Kwanini wasichukiwe. Hata jeshi la makaburu lilichukiwa