sasa hujajichunguza kwa nini umepewa kielelezo cha imani ambayo inakufanya uamini pasipo kuona ,mbona unaamini kama kuna bacteria au virus je unaweza kuwaona hivi hivi na itokezee kua massada wa microscope haujavumbuliwaNdo hapo pana tatizo.Kama Mungu yupo kwanini asijitokeze ili tumwabudu pasipo na mashaka?
..... He kafara wanamtolea nani mkuu??Mtu alimuumba Mungu katika fikra zake ili awe kielelezo cha mambo yote yaliyokosa majibu kwa upeo wa watu.
Mungu alipewa sifa zote za kiutu kama vile huruma, chuki, upendo, ukatili, hasira, wivu, majuto, ushindani n.k.
Kutokana na sifa ya ushindani kuwa ni kipimo cha nguvu za Mungu, mtu alimuumbia Mungu mshindani, naye ameitwa Shetani.Mtu akajijengea imani kuwa matendo yote anayoyatenda anongozwa na Mungu iwapo ni mema au na Shetani iwapo ni mabaya.
Mungu na Shetani sii vitu halisi bali ni 'Idea' za watu.Mungu na Shetani hawajawahi kuonekana, kusikika, kuhisika, ama kushikika popote.
Idea ya uwepo wa Mungu imekuwa ikirithishwa kwa watu [Theists] wakiwa kwenye umri mdogo zaidi na kwa vitisho vya ya kwamba kama wasipomwamini Mungu basi wataishi maisha ya tabu pamoja na kuingia kwenye moto wa milele watakapokufa[Hakuna uthibitisho hata chembe wa kuwepo kwa hivyo vitisho].
Kutokana na watu mbalimbali kujitengenezea picha tofauti kwenye fikra zao juu ya Mungu, yameibuka makundi mbalimbali ya watu wenye mitazamo tofauti juu ya sifa za Mungu, sheria zake pamoja na mapenzi yake kwa watu. Makundi hayo ni dini na madhehebu yasiyo na idadi yanayodai kumwamini Mungu mmoja lakini jambo la kushangaza huyo Mungu ana waongoza watu kwa utofauti mkubwa sana.Hizo dini na madhehebu yake zimekuwa zikihubiri sifa chanya za Mungu na hasi za Shetani ambazo haziendani na uhalisia.
Idea ya uwepo wa Mungu na Shetani imekuwa ikiaminishwa kwa watu badala ya kueleweshwa hivyo kukosekana kwa ushahidi juu ya kuwepo kwa Mungu pamoja na mpinzani wake Shetani.
Pindi mahojiano juu ya uwepo wa Mungu yanapoibuka, Mungu hutetewa na watu badala ya kujitetea mwenyewe.
Mungu na Shetani sii halisi[kweli] bali ni fikra za watu ambazo hazina uhalisia wowote.
Nje ya fikra za watu hakuna Mungu wala Shetani..........Hapo mwanzo mtu alimuumba Mungu kwa mfano wake.
umecomment kwa hekima sana mkuuMleta hoja umeleta vizuri maana umeweka na ushahidi wa shaka yako juu ya uwepo wa Mungu. Wajibuji hatupaswi kukutisha bali tukujibu kwa ushahidi ulio wazi. Niseme tu kwa ufupi, In vigumu kuthibitisha uwepo wa Mungu lakini nivigumu zaidi kuthibitisha kutokuwepo kwake, tunachoweza kuonesha uwepo wa Mungu ni kutaja maumbile, kanuni na mienendo iliyopo ambayo sio kazi ya mikono ya Mtu.
Nisipo mkuta poa, nikimkuta nitamuuliza kwanini aliishi mbali na watu.
Kuamini kwa mashaka ni kupoteza muda.
HUU NDO UKWELI ATAKAYEBISHA NA ABISHE!BINADAMU NDIYE ALIYEMUUMBA MUNGU,Huu ndo ukweliMtu alimuumba Mungu katika fikra zake ili awe kielelezo cha mambo yote yaliyokosa majibu kwa upeo wa watu.
Mungu alipewa sifa zote za kiutu kama vile huruma, chuki, upendo, ukatili, hasira, wivu, majuto, ushindani n.k.
Kutokana na sifa ya ushindani kuwa ni kipimo cha nguvu za Mungu, mtu alimuumbia Mungu mshindani, naye ameitwa Shetani.Mtu akajijengea imani kuwa matendo yote anayoyatenda anongozwa na Mungu iwapo ni mema au na Shetani iwapo ni mabaya.
Mungu na Shetani sii vitu halisi bali ni 'Idea' za watu.Mungu na Shetani hawajawahi kuonekana, kusikika, kuhisika, ama kushikika popote.
Idea ya uwepo wa Mungu imekuwa ikirithishwa kwa watu [Theists] wakiwa kwenye umri mdogo zaidi na kwa vitisho vya ya kwamba kama wasipomwamini Mungu basi wataishi maisha ya tabu pamoja na kuingia kwenye moto wa milele watakapokufa[Hakuna uthibitisho hata chembe wa kuwepo kwa hivyo vitisho].
Kutokana na watu mbalimbali kujitengenezea picha tofauti kwenye fikra zao juu ya Mungu, yameibuka makundi mbalimbali ya watu wenye mitazamo tofauti juu ya sifa za Mungu, sheria zake pamoja na mapenzi yake kwa watu. Makundi hayo ni dini na madhehebu yasiyo na idadi yanayodai kumwamini Mungu mmoja lakini jambo la kushangaza huyo Mungu ana waongoza watu kwa utofauti mkubwa sana.Hizo dini na madhehebu yake zimekuwa zikihubiri sifa chanya za Mungu na hasi za Shetani ambazo haziendani na uhalisia.
Idea ya uwepo wa Mungu na Shetani imekuwa ikiaminishwa kwa watu badala ya kueleweshwa hivyo kukosekana kwa ushahidi juu ya kuwepo kwa Mungu pamoja na mpinzani wake Shetani.
Pindi mahojiano juu ya uwepo wa Mungu yanapoibuka, Mungu hutetewa na watu badala ya kujitetea mwenyewe.
Mungu na Shetani sii halisi[kweli] bali ni fikra za watu ambazo hazina uhalisia wowote.
Nje ya fikra za watu hakuna Mungu wala Shetani..........Hapo mwanzo mtu alimuumba Mungu kwa mfano wake.
Kwa hiyo wewe unaamini kuna mungu sababu unaogopa labda utamkuta?bora useme yupo hata usipomkuta hujapoteza kitu kuliko kusema hayupo halafu ukamkuta sasa.....
Mungu yupo hasa katika ulimwengu wa rohoNdo hapo pana tatizo.Kama Mungu yupo kwanini asijitokeze ili tumwabudu pasipo na mashaka?
duh!akuna kutubu kwa sababu kutubu pia kumezushwa tu na hao, hao waliozusha vitu ambavyo havipo, labda nisisitize tu HAKUNA MUNGU, SHETANI, IBILISI, WALA MOTO UWE WA GESI, KIBIRITI, KUNI PETROLI WALA WA KUCHEMSHIA CHAI.
Facts, mtu anajitengenezea support mechanismNdo maana nikasema Mtu alimuumba Mungu ili awe kielelezo cha mambo yaliyokosa majibu kwa upeo wa kiutu.
Mtu amejitengenezea nguzo katika fikra zake ili iwe sehemu ya kujipa matumaini pindi apatapo magumu.
Kinachonishangaza huwa hajawahi tokea mbele za watu.. Huwa anatokea mafichoni tuuKwanini Mungu ajitambulishe kwa watu wake indirect kwa kutumia mitume?
Kwanini mitume na manabii wote ni watu wa middle east?
Je kama hao watu waliabudu mizimu yao sisi tutajuaje?
@CHARMILTONMleta hoja umeleta vizuri maana umeweka na ushahidi wa shaka yako juu ya uwepo wa Mungu. Wajibuji hatupaswi kukutisha bali tukujibu kwa ushahidi ulio wazi. Niseme tu kwa ufupi, In vigumu kuthibitisha uwepo wa Mungu lakini nivigumu zaidi kuthibitisha kutokuwepo kwake, tunachoweza kuonesha uwepo wa Mungu ni kutaja maumbile, kanuni na mienendo iliyopo ambayo sio kazi ya mikono ya Mtu.