TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,765
- 4,033
Kujua hizo namba za kati watakugombea kama mpira wa kona!wazee wa bandari washamuona,ngoja niwape namba yake ni 0713-----6
Kujua hizo namba za kati watakugombea kama mpira wa kona!wazee wa bandari washamuona,ngoja niwape namba yake ni 0713-----6
Nimeukumbuka ghafla ule wimbo wa Rose Mhando..
Ulichokosea hapo ni kuweka hii alama "?"ni bebe,baby nibebe,nibembeleze ni bebe,oh baby ni bebe ni we salama,unasema wimbo huo?
Ulichokosea hapo ni kuweka hii alama "?"
Hapo mvuto sifuri, gari yangu haisimami inapitiliza tu.
Hivi kampeni ya tokomeza mabusha na matende iliishia wapi?
Mimi nimekumbuka wimbo wa mzee wa Mwanza, "We dada nipe mugongo nataka kupanda mimi, unifunge kwa ubeleko nisije nikaanguka dada. Ukitaka......atakupa mama yangu, ukitaka muhogo wa jang'ombe nitakupa mimi dada..."Nimeukumbuka ghafla ule wimbo wa Rose Mhando..
hao wawili wameunganishiwa kompyutani bana
Uchafu mtupu