Hapo kuna Mapenzi kweli?

TANMO

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
11,502
11,248
Mimi ni mvulana mwenye umri miaka 35. Nimewahi kuwa na rafiki yangu wa kike ambaye tulipependana nae kwa miaka mitatu hivi. Lakini kilichonishangaza kwa muda wote huo, huyo girlfriend wangu hakuwahi hata kuninunulia hata zawadi ndogo ya shukrani. Nimemnunulia vitu vingi na mara nyingi nimempleka lunch na hata dinner. Vile vile kwa muda wote huo amkuwa na tabia kuomba nimnunulie hiki na kile.

Nilipogundua kuwa ni mhitaji sana wa vitu vingi, nilimdanganya tu kama njia ya kumpima kuwa mimi ni mgonjwa na kazi sina. Yeye anaishi Dar na mimi nipo Mwanza. Kilichonishangaza ni kuwa tangu nimpe habari hii, hata siku moja hakuwasiliana nami tena. Ndiyo ikawa mwisho wa mawasiliano yetu. Hata ile kunijulia hali hamna. Wakati nilipokuwa namtimizia haja zake alikuwa akinipa maneno matamu kuwa atanipenda hata mpaka ahera! Je, huu ni ule msemo wa kiswahili usemao; hapendwi mtu ila pochi? Naombeni mnisaidie.


Source: http://www.darhotwire.com/maisha/mh_other.php?id=4432
 
Mimi ni mvulana mwenye umri miaka 35. Nimewahi kuwa na rafiki yangu wa kike ambaye tulipependana nae kwa miaka mitatu hivi. Lakini kilichonishangaza kwa muda wote huo, huyo girlfriend wangu hakuwahi hata kuninunulia hata zawadi ndogo ya shukrani. Nimemnunulia vitu vingi na mara nyingi nimempleka lunch na hata dinner. Vile vile kwa muda wote huo amkuwa na tabia kuomba nimnunulie hiki na kile.

Nilipogundua kuwa ni mhitaji sana wa vitu vingi, nilimdanganya tu kama njia ya kumpima kuwa mimi ni mgonjwa na kazi sina. Yeye anaishi Dar na mimi nipo Mwanza. Kilichonishangaza ni kuwa tangu nimpe habari hii, hata siku moja hakuwasiliana nami tena. Ndiyo ikawa mwisho wa mawasiliano yetu. Hata ile kunijulia hali hamna. Wakati nilipokuwa namtimizia haja zake alikuwa akinipa maneno matamu kuwa atanipenda hata mpaka ahera! Je, huu ni ule msemo wa kiswahili usemao; hapendwi mtu ila pochi? Naombeni mnisaidie.


Source: http://www.darhotwire.com/maisha/mh_other.php?id=4432

Hapo hakuna mapenzi ya kweli, huyo mwanamke akupendi wewe kama wewe bali anapenda vitu vyako ndo maana ulivyomwambia kuwa unaumwa na hauna kazi akasitisha mawasiliano na wewe.
 
mbona hapo ni plain kabisa?.... Jibu liko wazi!

Ila je wewe umeshawasiliana naye baada ya kumpa habari hiyo?... usikute mweznio alifariki kwa ugonjwa wa moyo mara tu ulipomwambia waumwa na kazi huna la aziz wake!
 
mbona hapo ni plain kabisa?.... Jibu liko wazi!

Ila je wewe umeshawasiliana naye baada ya kumpa habari hiyo?... usikute mweznio alifariki kwa ugonjwa wa moyo mara tu ulipomwambia waumwa na kazi huna la aziz wake!

Hii kali mwanajaii.

Kaka usijali mapenzi ndo yalivyo, yawezekana yeye hana kipato cha kukununulia zawadi, hiyo test moja haitoshi, jaribu kumpa muda uhakikishe, with time utajua tabia yake na kuona kama kweli anakupenda au la.
 
Mimi ni mvulana mwenye umri miaka 35. Nimewahi kuwa na rafiki yangu wa kike ambaye tulipependana nae kwa miaka mitatu hivi. Lakini kilichonishangaza kwa muda wote huo, huyo girlfriend wangu hakuwahi hata kuninunulia hata zawadi ndogo ya shukrani. Nimemnunulia vitu vingi na mara nyingi nimempleka lunch na hata dinner. Vile vile kwa muda wote huo amkuwa na tabia kuomba nimnunulie hiki na kile.

Nilipogundua kuwa ni mhitaji sana wa vitu vingi, nilimdanganya tu kama njia ya kumpima kuwa mimi ni mgonjwa na kazi sina.

...mapenzi hayapimwi kwa u thamani wa kitu, DONT COUNT ulichomnunuliua, au anachokununulia.

...alipobaini umemdanganya naye ndipo alipokutoa maanani.

...Every story has it's three sides; her story, your story, and the truth, na 'mwamba ngoma huvutia kwake', au sio?
 
sasa wewe unaomba ushauri wa nini wakati umesema hauko nae tena. ( Nimewahi kuwa [/B]na rafiki yangu wa kike) sidhani kama ushauri utakao pewa hapa utautumia.
 
Hayo ndio mambo ya bongo daresalaam,tafuta mmoja hapo mwanza ambae mtakua nae karibu
 
mbona hapo ni plain kabisa?.... Jibu liko wazi!

Ila je wewe umeshawasiliana naye baada ya kumpa habari hiyo?... usikute mweznio alifariki kwa ugonjwa wa moyo mara tu ulipomwambia waumwa na kazi huna la aziz wake!


Du! umenikuna ndugu. Ukute akiujua ukweli atajilaumu kwa nini alimdanganya!
 
Back
Top Bottom