Hapiness Magese avishwa pete ya $76,000

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Jun 17, 2009
3,444
264
Dada yetu Super Model Hapiness Magesse, amevishwa pete ya thamani kubwa. 3.5 Carrant Diamond with Clearless Clarity abayo imewekwa kwenye Planinum Ring.

Mchumba wake ni kaka mmoja mtoto wa FISADI aitwaye GERALD MGASHA ambaye ni mbeba boxi Canada, wadau hii imekaaje Dola $76,000

Dada huyo alivalishwa Pete siku ya Jumamosi 24/01/2010 pale Bahari beach. Honera Dada yetu
 
Daah ni super.. But vibaka wakijua thamani ya huo mkono wataukata?! N'ways..good for her
 
Wakati Wa-Tanzania asilimia 90 ni maskini wa kutupa mswahili mmoja anavaa pete ya USD 76,000, ili iweje? unajua kuna kutenda DHAMBI na pia kuna KUKUFURU! hii basi ndo KUFURU yenyewe!!

Tukumbuke tulikotoka, elimu vijijini duni, kina mama wajawazito wanakufa kwa kukosa huduma wakati wa kujifungua, miundombinu yetu ndo hiyo................... nadhani hata ndugu zake Happiness ni CHOKA MBAYA ............... "ukifa utapelekwa kijijini na huko utazikwa na watu maskini saaana wenye nguo zilizojaa viraka viraka"

Mi simo
 
Ni uzumbukuku na kufuru zilizotujaa wanadamu; hapo send off party utasikia 200m! Mbona pamoja na kufuru zote hizo hambadili ardhii mnayoikanyaka nayo iwe ya dhahabu tupu badala yake mnakuja tunashea wote ardhi hii hii! basi kumbukeni kushare ahat wealth mliyopewa kwa niaba yetu!
 
dada yetu super model hapiness magesse, amevishwa pete ya thamani kubwa. 3.5 carrant diamond with clearless clarity abayo imewekwa kwenye planinum ring.

Mchumba wake ni kaka mmoja mtoto wa fisadi aitwaye gerald mgasha ambaye ni mbeba boxi canada, wadau hii imekaaje dola $76,000

dada huyo alivalishwa pete siku ya jumamosi 24/01/2010 pale bahari beach. Honera dada yetu

ubatili mtupu, na kujilisha upepo
 
Dada yetu Super Model Hapiness Magesse, amevishwa pete ya thamani kubwa. 3.5 Carrant Diamond with Clearless Clarity abayo imewekwa kwenye Planinum Ring.

Mchumba wake ni kaka mmoja mtoto wa FISADI aitwaye GERALD MGASHA ambaye ni mbeba boxi Canada, wadau hii imekaaje Dola $76,000

Dada huyo alivalishwa Pete siku ya Jumamosi 24/01/2010 pale Bahari beach. Honera Dada yetu

Siwezi kushangaa kuona hayo, kama ni mtoto wa FISADI, basi hela hizo yawezekana ikawa ni kodi za walala hoi wa Bongo. Muhimu zaidi angefikiria hali za ndugu zake kwanza kabla ya kufikiria wabongo kwa ujumla, je ndugu zao hakuna wenye shida, hakuna vitotot vinakosa ada za shule au ada zinapatikana kwa shida? kama hayo kwao hayapo angefikiria wabongo nao hakuna wanaohitaji msaada?? Lakini sio yeye pekee yake ndivyo Mitanzania ilivyo
 
wapeleke misaada kilosa huko kwenye mafuriko watu hawana hata pa kulala! Sio kukufuja pesa kwa vitu visivyo na umuhimu!!!
 
Wakati Wa-Tanzania asilimia 90 ni maskini wa kutupa mswahili mmoja anavaa pete ya USD 76,000, ili iweje? unajua kuna kutenda DHAMBI na pia kuna KUKUFURU! hii basi ndo KUFURU yenyewe!!

Tukumbuke tulikotoka, elimu vijijini duni, kina mama wajawazito wanakufa kwa kukosa huduma wakati wa kujifungua, miundombinu yetu ndo hiyo................... nadhani hata ndugu zake Happiness ni CHOKA MBAYA ............... "ukifa utapelekwa kijijini na huko utazikwa na watu maskini saaana wenye nguo zilizojaa viraka viraka"

Mi simo
Ilaumu serikali wewe sio mtu kabeba Box kapata mshiko wake then unampangia matumizi? Umaskini wetu unaletwa na sera mbovu na zisizo tekelezeka....!!
 
Kuvishwa pete kwa hao tumezoea sana , je hata iwe 20M $ itamletea furaha ktk maisha? ubatili mtupu, ni kujifurahisha tuu basi!
 
Dada yetu Super Model Hapiness Magesse, amevishwa pete ya thamani kubwa. 3.5 Carrant Diamond with Clearless Clarity abayo imewekwa kwenye Planinum Ring.

Mchumba wake ni kaka mmoja mtoto wa FISADI aitwaye GERALD MGASHA ambaye ni mbeba boxi Canada, wadau hii imekaaje Dola $76,000

Dada huyo alivalishwa Pete siku ya Jumamosi 24/01/2010 pale Bahari beach. Honera Dada yetu


Huyo jamaa na yeye anadhani anaweza oa model? mtaniambia only a year jamaa atasarenda mwenyewe
 
Dada yetu Super Model Hapiness Magesse, amevishwa pete ya thamani kubwa. 3.5 Carrant Diamond with Clearless Clarity abayo imewekwa kwenye Planinum Ring.

Mchumba wake ni kaka mmoja mtoto wa FISADI aitwaye GERALD MGASHA ambaye ni mbeba boxi Canada, wadau hii imekaaje Dola $76,000

Dada huyo alivalishwa Pete siku ya Jumamosi 24/01/2010 pale Bahari beach. Honera Dada yetu

Kuna ushahidi gani kwenye garama ya pete? umeona risiti ya manunuzi? tusichangie mada na kuanza kulaumu baadae tukaja umbuka ni vizuri tukawa na uhakika.
 
Dada yetu Super Model Hapiness Magesse, amevishwa pete ya thamani kubwa. 3.5 Carrant Diamond with Clearless Clarity abayo imewekwa kwenye Planinum Ring.

Mchumba wake ni kaka mmoja mtoto wa FISADI aitwaye GERALD MGASHA ambaye ni mbeba boxi Canada, wadau hii imekaaje Dola $76,000

Dada huyo alivalishwa Pete siku ya Jumamosi 24/01/2010 pale Bahari beach. Honera Dada yetu

kwanza why uiite breaking news? iweke ktk udaku na gossips kwani hujaona receipt it was hear who say!
 
Dada yetu Super Model Hapiness Magesse, amevishwa pete ya thamani kubwa. 3.5 Carrant Diamond with Clearless Clarity abayo imewekwa kwenye Planinum Ring.

Mchumba wake ni kaka mmoja mtoto wa FISADI aitwaye GERALD MGASHA ambaye ni mbeba boxi Canada, wadau hii imekaaje Dola $76,000

Dada huyo alivalishwa Pete siku ya Jumamosi 24/01/2010 pale Bahari beach. Honera Dada yetu
haya hiyo katika rangi nyekundu mmmmh
 
Wakati Wa-Tanzania asilimia 90 ni maskini wa kutupa mswahili mmoja anavaa pete ya USD 76,000, ili iweje? unajua kuna kutenda DHAMBI na pia kuna KUKUFURU! hii basi ndo KUFURU yenyewe!!

Tukumbuke tulikotoka, elimu vijijini duni, kina mama wajawazito wanakufa kwa kukosa huduma wakati wa kujifungua, miundombinu yetu ndo hiyo................... nadhani hata ndugu zake Happiness ni CHOKA MBAYA ............... "ukifa utapelekwa kijijini na huko utazikwa na watu maskini saaana wenye nguo zilizojaa viraka viraka"

Mi simo
tusipende kunyoosheana vidole jamani, kila mtu ana uhuru wa kutumia pesa yake kwa mujibu wa mahitaji yake hata kama pesa hiyo hakuipata kihalali. Mbona kuna mengi tu tunayafanya kila siku ila hatujiulizi ni kwa kiasi gani haya tunayofanya yanaweza kuwasaidia maskini au hata kuinua maendeleo ktk jamii zetu, tunafanya sherehe za harusi za gharama kubwa sana na wengi wetu humu ni wachangiaji wa michango hiyo isiyo hata ya lazima, kwa nini hizo sherehe na hiyo michango tusipeleke kwa maskini au tuchange ili kuinua kiwango cha elimu na huduma ya afya, wengi wanaona hao wahusika kama vile wamefanya kufuru ila wanashindwa kujiiuliza na wao huwa wanafanya nini japo kidogkidogo kwa muda mrefu.

Mtu mmoja hawezi kuleta mabadiliko hayo tunayodhania yanawezekana, kama tukianza kujiuliza kwa staili hiyo mi naona ni hatari coz hata pc tunazotumia sasa hv kutoa haya maoni ni gharama ukilinganisha na hali ya umaskini waliyokuwanayo watu wa vijijini, so tunatakiwa nasi tuuze pc zetu ili tuweze kutoa michango ya mafuriko kilosa, tusaidie ada za shule kwa watoto wa ndugu zetu n.k?? kama kweli tunaona uchungu wa matumizi ya pesa wakati bado asilimia kubwa wangali maskini then ni vyema tungeanza na matumizi ya pesa kwa serikali yetu na sio ya mtu mmoja mmoja..
 
Dada yetu Super Model Hapiness Magesse, amevishwa pete ya thamani kubwa. 3.5 Carrant Diamond with Clearless Clarity abayo imewekwa kwenye Planinum Ring.

Mchumba wake ni kaka mmoja mtoto wa FISADI aitwaye GERALD MGASHA ambaye ni mbeba boxi Canada, wadau hii imekaaje Dola $76,000

Dada huyo alivalishwa Pete siku ya Jumamosi 24/01/2010 pale Bahari beach. Honera Dada yetu
Inawezeka ni $76000 or $7600 or $760 maana wabongo wanamatatizo na kuquote figures sana! Lakini sina hofu na mtoa mada.

Yawezekana pia pete yenyewe imeibiwa huko huko Canada ikaletwa hivyo hivyo na kuja kijisifu nayo, inabidi Happiness akisafiri awe makini maana kama kuna security label na haijatolewa anaweza kubambwa au waibadilishe muundo. Hiyo ni kama imekwapuliwa!!! Lakini kama ni ya haki, all the best to both of them, lakini vibaka wakijuaaaaaa wanaweza kuondoka na pete na kidoleeeeee, awe makini..kama walimwibia JD katikati ya watu, uwanja wa taifa, wataacha kuiba sehemu za starehe au saloon, etc??????

Bongo zaidi ya uijuavyo!!
 
Dah hii ni hatari sana anajitengenezea kutokuwa na amani maana watu wataanza kumnyemelea ili wakwapue pete hiyo sisi mitaani wakisikia umerudi na mil.1 unafuatwa na bunduki na mapanga juu sasa hiyo pete lazima aombe ulinzi binafsi
 
Watanzania ndo maana mnaendelea kua masikini!! Hata akivalishwa pete ya USD 100 Mil, si pesa zake, nyie nani anawapangia matumizi yenu???

Nyie mnapotumia pesa zenu, huwa mnakumbuka ndugu/watanzania wengine!!

Kweli sasa naamini ni rahisi kwa tajiri kuurithi ufalme wa mbinguni kuliko masikini. Masikini mna majungu sana na kupenda kuwapangia watu watumieje hela zao.

Tafuteni zenu ili mkagae kwa masikini, Period!!!!!!!!!!
 
jamani hiyo ni kawaida...si ni sawa tu na yule anayetoa gari jekundu kwa yule anaemega! acheni wale coz hatuna cha kufanya,
 
Back
Top Bottom